Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Suleiman Abdulla awaongoza wateja, wadau wa NBC kushiriki hafla ya futari Zanzibar
Pamoja na ushiriki huo Mhe Abdulla aliishukuru na kuipongeza NBC kwa kuandaa tukio hilo la kiimani, akieleza kuwa ni ishara ya moyo wa kujali na kujenga mahusiano imara na jamii. Alitoa shukrani za dhati kwa niaba ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa kutambua mchango wa NBC katika maendeleo ya visiwa hivyo—kuanzia msaada wa kifedha, ushauri…