Ofisa Nida ashinda kesi ya kufukuzwa kazi
Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imempa ushindi wa aliyekuwa Ofisa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Njiti Manyumba dhidi ya mwajiri wake baada ya mabishano makali ya kisheria. Uamuzi huo umetolewa Februari 27, 2026 na Jaji Elizabeth Mkwizu wakati akitoa uamuzi kuhusiana na maombi ya Manyumba kuongezewa muda…