Admin

NDUNA MKOMANILE ANG’ARA RUVUMA: WANANCHI WAJIFUNZA MCHANGO WA WANAWAKE KATIKA VITA VYA MAJIMAJI

Wananchi mbalimbali pamoja na baadhi ya viongozi wamepata fursa ya kutembelea onyesho maalum la Nduna Mkomanile lililofanyika katika Kituo cha Baraza la Wazee wa Mila na Desturi Mkoa wa Ruvuma. Onyesho hilo limefanyika tarehe 27/02/2026, likiwakutanisha wadau mbalimbali waliotaka kujifunza na kutambua mchango wa wanawake katika historia ya ukombozi wa taifa. Nduna Mkomanile anatambulika kama…

Read More

Wakulima wa parachichi walilia ukaguzi wa mizani

Rungwe. Wakulima wa Parachichi Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya wameomba Wakala wa Vipimo (WMA), mkoani hapa kuingilia kati na kufanya ukaguzi wa kushtukiza ili kubaini uchakachuzi wa mizani ya kidigitali kutumika kuwaibia. Hatua hiyo imekuja kufuatia malalamiko ya muda mrefu ya wakulima hususani maeneo ya vijijiji kudai wanunuzi kutumia mizani iliyo nembo za mamlaka husika…

Read More

Offen Chikola ni mapambano tu

KIUNGO mshambuliaji wa Singida Black Stars, Offen Chikola amesema msimu huu upande wake ni wa kujifunza vitu vingi, huku akiwa amecheza kwa dakika 50 pekee dhidi ya Fountain Gate tangu ajiunge na timu hiyo kwa mkopo kipindi cha dirisha dogo Januari 2026 akitokea Yanga. Chikola aliyejiunga na Yanga msimu huu kwa mkataba wa miaka mitatu…

Read More

Mtanzania adai kuteswa Uarabuni, aomba msaada kurejeshwa Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Afrika Mashariki ikiendelea kufuatilia kwa hofu hatima ya mfanyakazi wa ndani kutoka Uganda, Vicky Ajok, anayekabiliwa na hukumu ya kunyongwa nchini Syria, simulizi nyingine ya maumivu inamhusu Mtanzania, Zaidatu Hasani Rashid, anayepitia mateso katika Falme za Kiarabu na sasa anataka kurudi Tanzania. Zaidatu alisafiri Agosti 30, 2025 kwenda katika nchi hiyo…

Read More

‘Miradi ya miundombinu ikamilike wa wakati’

Morogoro. Wakati mvua zikiendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Dunstan Kyobya, ametaka miradi ya miundombinu kukamilika kwa wakati ili kuepusha wananchi kukwama kwenye shughuli zao za kiuchumi. Jana Ijumaa, Februari 26, 2026 akiwa katika ziara ya kukagua hali ya barabara na madaraja, Kyobya amemuagiza mkandarasi anayejenga Daraja la Mto Mfuji lililopo…

Read More

Chuo cha Aga Khan chatoa mafunzo ya malezi bora kwa watoto

Arusha. Katika kuimarisha malezi na makuzi bora kwa watoto, Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU) kimeendesha programu maalumu za kuwajengea uwezo wadau mbalimbali, wakiwamo wawakilishi wa asasi za kiraia zinazojihusisha na maendeleo ya awali ya mtoto. Mradi huo wa mafunzo kuhusu sayansi ya malezi na makuzi ya maendeleo ya awali ya watoto umefanyika leo, Jumamosi,…

Read More

Ofisa Nida ashinda kesi ya kufukuzwa kazi

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imempa ushindi wa aliyekuwa Ofisa wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Njiti Manyumba dhidi ya mwajiri wake baada ya mabishano makali ya kisheria. Uamuzi huo umetolewa Februari 27, 2026 na Jaji Elizabeth Mkwizu wakati akitoa uamuzi kuhusiana na maombi ya Manyumba kuongezewa muda…

Read More