
VIDEO: Kutoka kukata tamaa hadi matumaini tiba ya moyo
Dar es Salaam. Miaka 15 iliyopita, kupata ugonjwa wa moyo nchini Tanzania kulikuwa ni kama hukumu iliyoambatana na gharama kubwa kifedha, safari ndefu kwenda nje ya nchi au kukata tamaa ya matibabu na kupona. Kabla ya mwaka 2008, upasuaji mkubwa wa moyo haukufanyika nchini, hivyo iliwalazimu wagonjwa kusafiri hadi India na mataifa mengine kupata tiba;…