Tanzania kurejesha hekta milioni 5.2 mwaka 2030
Arusha. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imejipanga kurejesha hekta milioni 5.2 za ardhi iliyoharibika ifikapo mwaka 2030, kama sehemu ya jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuboresha uhifadhi. Lengo ni kurejesha uoto wa asili katika maeneo mbalimbali yaliyopoteza misitu ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kuimarisha biaonuwai na kuboresha maisha ya…