Admin

Tanzania kurejesha hekta milioni 5.2 mwaka 2030

Arusha. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imejipanga kurejesha hekta milioni 5.2 za ardhi iliyoharibika ifikapo mwaka 2030, kama sehemu ya jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuboresha uhifadhi. Lengo ni kurejesha uoto wa asili katika maeneo mbalimbali yaliyopoteza misitu ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kuimarisha biaonuwai na kuboresha maisha ya…

Read More

BOT yahamasisha kampeni ya malipo kidijitali

Kigoma. Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imeongeza kasi ya kampeni ya kuhamasisha matumizi ya mifumo ya malipo ya kidijitali badala ya fedha taslimu, ikieleza kuwa hatua hiyo itaimarisha usalama na kupunguza hasara inayotokana na uchakavu wa noti na sarafu. Akizungumza leo Jumamosi, Februari 28, 2026 katika mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari kutoka…

Read More

Dereva wa bajaji adaiwa kujinyonga

Njombe. Dereva bajaji, Msafiri Sanga (40), amekutwa amefariki dunia kwa kile kilichoelezwa kuwa alijinyonga, huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi. Hata hivyo, leo Jumamosi Februari, 28 2026 alipotafutwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga kwa njia ya simu ili kupata taarifa rasmi za tukio hilo, simu yake haikupokewa. Mwili wa Sanga ulikutwa…

Read More

Viongozi wajitokeza maziko ya Kardinali Pengo, Pugu

Dar es Salaam. Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wamejitokeza kushiriki mazishi ya Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, yanayofanyika katika Kituo cha Hija ya Bikira Maria, Pugu, jijini Dar es Salaam. Ibada ya Misa Takatifu ya mazishi inaongozwa na viongozi wa Kanisa Katoliki,…

Read More

USHAHIDI WA TUNDA LA MTI WA KATI KULIWA NGORONGORO HUU HAPA

Mwaka 1976, Mtafiti wa masuala ya Akiolojia Dr. Mary Leakey aligundua nyayo za zamadamu eneo la Laetoli zilizohifadhika katika mwamba wa jivu la volcano iliyolipuka kwenye milima ya Ngorongoro zaidi ya miaka milion 3.6 iliyopita. Wataalamu wanaamini kuwa nyayo hizo ziliachwa na jamii ya watu wa kale waitwao Australopithecus Afarensis. Nyayo za Zamadamu Laetoli Ngorongoro…

Read More

Raoma, Vodacom Wazindua Mfumo wa Kidijitali ‘SOMO’ Chini ya Kampeni ya Twende Zetu Darasani

Taasisi isiyo ya kiserikali ya RAOMA Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania Plc leo wamezindua mfumo mpya wa kidijitali wa elimu unaoitwa SOMO, chini ya kampeni mpya ya Twende Zetu Darasani. SOMO ni mfumo wa kidijitali ulioundwa mahususi na Vodacom Tanzania Plc ili kusaidia ufundishaji na ujifunzaji wa masomo…

Read More

RAIS DKT.SAMIA ATETA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ANAYEMALIZA MUDA WAKE IKULU JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala mengine, Katibu Mkuu ambaye anamaliza muda wake alimshukuru Mheshimiwa Rais na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More

Trump Atangaza Vita dhidi ya Iran, Milipuko Yaripotiwa Mashariki ya Kati, Iran Yajibu

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuanza kwa kile alichokiita “operesheni kubwa za kivita” dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kulinda raia wa Marekani kwa kuondoa vitisho vinavyodaiwa kutoka kwa utawala wa Tehran. Katika ujumbe wa video uliorushwa kwenye mitandao ya kijamii, Trump alisema Marekani kwa kushirikiana na Israel imeanzisha mashambulizi ya makombora yaliyolenga…

Read More

Waliohukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya bodaboda waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa iliyokuwa imetolewa dhidi ya Hamis Ernest na Renatus Simon, waliokuwa wamepatikana na hatia ya kumuua dereva wa bodaboda, Gervas Genus. Kuachiwa kwao kumetokana na Mahakama ya Rufani kubaini kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha shitaka hilo bila kuacha shaka. Uamuzi huo umetolewa Februari 27, 2026…

Read More