Admin

Asahi Group kununua hisa za Diageo katika EABL

Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za EABL na umiliki wake katika kampuni ya vinywaji vikali ya UDV (Kenya) Limited kwa kampuni ya Asahi Group kutoka Japan. Hatua hii inaifanya Asahi kuwa kampuni ya kwanza kubwa kutoka Japan kuingia rasmi na kuwekeza kwa kiwango…

Read More

Madumu 23,755 ya mafuta ya magendo yakamatwa, wafanyabiashara walia urasimu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikikamata madumu 23,755 ya mafuta ya kula yaliyoingizwa nchini kinyume na taratibu, wananchi wamepaza sauti zao wakitaka watumishi waliopo bandari ndogo ya Kunduchi, kuangaliwa kwa kile wanachodai wamekuwa wakikwamisha biashara. Kukwamisha huduma huko kumetajwa kuchangiwa na watumishi kuchagua watu wa kufanya nao biashara, hali inayofanya wengine kukwepa kushusha mizigo katika…

Read More

TFS SHINES NATIONALLY, WINS BEST FOREST CONSERVATION AND BIODIVERSITY PROTECTION AWARD

The Tanzania Forest Services Agency (TFS) has made national history in the natural resources sector after winning the Best Forest Conservation and Biodiversity Protection Award (TPSIA) 2025, an accolade recognizing institutions that have demonstrated positive and sustainable results in safeguarding natural resources. The award was presented yesterday, 16th December 2025, in Dar es Salaam during…

Read More

TFS YANG’ARA KITAIFA, YASHINDA TUZO YA UMAHIRI UHIFADHI MISITU NA BIOANWAI

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeandika historia mpya katika sekta ya maliasili baada ya kushinda Tuzo ya Umahiri katika Uhifadhi wa Misitu na Ulinzi wa Bioanwai kwa mwaka 2025, tuzo inayotambua taasisi zilizoonesha matokeo chanya na endelevu katika kulinda rasilimali za asili. Tuzo hiyo, inayojulikana kama Best Forest Conservation and Biodiversity Protection Award…

Read More