
WanaCCM Same Mashariki watakiwa kuvunja makundi
Same. Mgombea mteule wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri, amewataka wanachama wa chama hicho katika Jimbo la Same Mashariki kuvunja makundi na kuungana kwa pamoja ili kuhakikisha wagombea wa CCM wanashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Bushiri ametoa wito huo alipozungumza katika mkutano…