Dabi ya mastaa wenye thamani ya kutisha
KATIKA mechi zenye ushindani na msisimko mkubwa zinazoteka hisia za wengi hapa nchini, ile inayozikutanisha Yanga na Simba inashika namba moja. Zinapokutana timu hizo si Tanzania pekee, bali nje ya mipaka ya nchi pia…