Admin

Taifa Stars yaishia njiani kama Kenya

Tanzania imeungana na Kenya zikiwa nchi wenyeji kutupwa nje ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao la dakika ya 63 likifungwa na mshambuliaji Oussama Lamlioui akipokea pasi ya kiungo Youssef Belammari limetosha kusitisha matumaini ya…

Read More

Wadau: Nishati safi iendane na ubora vifaa vinavyotumika

Dar es Salaam. Wakati nchi ikielekea kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia, wadau wameshauri Shirika la Viwango Tanzania (TBS) liwe na mfumo maalumu wa ukaguzi, ili kubaini vifaa vya kielektroniki vya kupikia visivyo na ubora. Wito huo umefuatia malalamiko kadhaa kutoka kwa watumiaji ambao walipata changamoto ya vifaa hivyo kuharibika mapema, kutokana na kukosa…

Read More

Wadau wakutana kitathmini lishe | Mwananchi

Morogoro. Tathmini ya mapambano dhidi ya udumavu na upungufu wa lishe bora hasa kwa watoto chini ya miaka mitano na wajawazito, imebaini uwepo wa changamoto kadhaa ikiwamo uelewa mdogo wa wazazi na walezi. Hayo yamebainika katika kikao cha viongozi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara, wataalamu kutoka sekta mbalimbali pamoja na wadau wa lishe kuhusu…

Read More

WADAU WA UANDAAJI NA USIMAMIZI WA BAJETI KUBORESHA UTENDAJI

Kamishna wa Idara ya Usimamizi wa Deni la Taifa, Bw. Japhet Justine, akiwataka wadau wa Uandaaji na usimamizi wa Bajeti kutoka Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Sekretarieti za Mikoa kutumia mafunzo waliyopata kuboresha utendaji, wakati wa kufunga mafunzo hayo kwa awamu ya kwanza katika ukumbi wa Kambarage, Treasury Square, jijini Dodoma. Kamishna Idara…

Read More

TCCIA kuwakutanisha washiriki 600 maonesho ya biashara Mwanza

Mwanza. Zaidi ya washiriki 500 na wengine 100 kutoka nchi za nje wanatarajiwa kushiriki maonesho ya 20 ya Biashara kwa lengo la kufungua fursa kwa wafanyabiashara wa kada zote Afrika mashariki, yatakayofanyika katika viwanja vya Nyamagana mkoani Mwanza. Maonesho hayo yataratibiwa na Taasisi ya Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Mwanza…

Read More

Majaliwa ataka mikakati iendane na mabadiliko teknolojia

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amevisihi vyama vya wafanyakazi barani Afrika, kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia duniani. Amesema kwa kufanya hivyo kutawawezesha kupunguza hatari ya kupoteza ajira kutokana na ujio wa mashine na matumizi ya teknolojia mpya ikiwemo za akili unde. Majaliwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo Ijumaa,…

Read More

MHE. RAIS AIPANDISHA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUWA MJI

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kupandisha hadhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Aidha, ameitaka Wizara yake kukamilisha taratibu zote za kisheria ikiwa ni pamoja na kuitangaza katika gazeti za Serikali kukamilika mara moja.Mhe. Mchengerwa ametoa…

Read More