Admin

Sudan, Algeria vita nzito, Uganda kuikabili Senegal

UHONDO wa michuano ya CHAN 2024 unaendelea leo kwa mechi mbili, moja ikipigwa visiwani Zanzibar wakati Sudan itakuwa mawindoni dhidi ya Algeria, huku jijini Kampala wenyeji Uganda watakuwa na kibarua kizito mbele ya watetezi, Senegal. Sudan iliyomaliza kama kinara wa Kundi D imesalia Zanzibar na kuanzia saa 2:00 usiku itakuwa na kazi ya kukabiliana na…

Read More

Kiungo Kagera ajitabiria Coastal | Mwanaspoti

KIUNGO mkabaji mpya wa Coastal Union, Geofrey Manyasi amesema anaamini msimu huu utakuwa mzuri kwa wana Mangushi na hayatomkuta yaliyomtokea msimu uliopita akiwa na Kagera Sugar. Manyasi amejiunga na Coastal katika dirisha kubwa la usajili msimu huu lililofunguliwa Agosti 15, 2025, akitokea Kagera Sugar iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu msimu uliopita. Nyota huyo wa zamani…

Read More

MKUTANO WA TISA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI TICAD WAHITIMISHWA JIJINI YOKOHAMA

 :::::::::  Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya kaulimbiu ya “Kuibua Uvumbuzi wa Pamoja na Afrika.” Mkutano huo ulifungwa rasmi na Waziri…

Read More

Taifa Stars yaishia njiani kama Kenya

Tanzania imeungana na Kenya zikiwa nchi wenyeji kutupwa nje ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao la dakika ya 63 likifungwa na mshambuliaji Oussama Lamlioui akipokea pasi ya kiungo Youssef Belammari limetosha kusitisha matumaini ya…

Read More