Ndege Iliyobeba Pesa Mpya Yaanguka barabarani Yaua 15, Watu Wagombea Pesa!
Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Watu 15 wafariki dunia baada ya ndege ya kijeshi aina ya Hercules ya Jeshi la Anga la Bolivia kuanguka kwenye barabara yenye shughuli nyingi katika mji wa El Alto Ijumaa jioni, wakati wa hali mbaya ya hewa. Taarifa hizo zimetolewa na vyombo vya habari vya ndani pamoja na…