Bodi ya Ligi Yatangaza Orodha ya Waamuzi wa Dabi ya Machi 01, Zanzibar
Global Publishers February 28, 2026 0 Comments Bodi ya Ligi imetangaza orodha ya waamuzi watakaoongoza mchezo wa Dabi ya Kariakoo utakaopigwa Jumapili, Machi 01, 2026, katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Kwa mujibu wa tangazo la Bodi ya Ligi: Mwamuzi wa Kati: Nassoro Mwinchui kutoka Tanga Mwamuzi Msaidizi 1: Kassim Mpanga kutoka Dar es…