Admin

Hizi Hapa Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi

NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi. Jambo la msingi unalopaswa kulitambua, siku zote mapenzi na kazi ni vitu ambavyo havitakiwi kuchanganywa, kama unafanya kazi na mwenzi wako, basi mkiwa kazini ni mfanyakazi mwenzako…

Read More

‘Kuzuia Kesi Sawa Kunahitaji Kuvunjilia mbali Taratibu Zinazochukulia Wapinzani kama Uhalifu’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili kuharamishwa kwa wapinzani nchini Ufilipino na Kyle A Domequil, msemaji wa Mtandao wa Free Tacloban 5, kampeni inayomuunga mkono mwanahabari Frenchie Mae Cumpio, mtetezi wa haki za binadamu Marielle Domequil na washtakiwa wenzao na wanaotetea kuachiliwa kwao. Kyle A Domequil Mnamo tarehe 22 Januari,…

Read More

Meridianbet Kuendeleza Biashara na Mshikamano wa Jamii Dar

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Meridianbet inathibitisha dhamira yake ya kusaidia jamii kwa hatua thabiti ya kutoa msaada wa vyakula na mahitaji muhimu kwa familia zenye uhitaji wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Mpango huu ni sehemu ya mkakati mpana wa kampuni kuhakikisha maendeleo ya biashara yanashirikiana kwa karibu na ustawi wa wananchi….

Read More

Maison des Talibés Yakabiliana na Unyanyasaji wa watoto wa ‘Talibé’ nchini Senegal – Masuala ya Ulimwenguni

Mamadou Ba, rais na mwanzilishi wa Maison des Talibés, anazungumza na talibés huko Saint-Louis, Senegal, kwenye sherehe za ufunguzi wa kituo cha shirika mnamo Januari 1, 2026. Kwa Hisani: Ramata Haidara na Megan Fahrney (mtakatifu-louis, senegal) Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service SAINT-LOUIS, Senegal, Februari 27 (IPS) – Unapotembea katika mitaa ya miji ya…

Read More

FCT: UWAJIBIKAJI, UAMINIFU NGUZO YA BIASHARA DODOMA

KATIBU Tawala Msaidizi Sehemu ya Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Dodoma Bi.Mwajabu Nyamkomora,akizungumza  wakati akifungua semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Baraza la Ushindani (FCT) kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika leo Februari 27,2026 jijini Dodoma. …… KATIBU Tawala Msaidizi Mkoa wa Dodoma, Mwajabu Nyamkomora, amesema uwajibikaji na uaminifu ni miongoni…

Read More

DKT.JAFO HAKUNA KULALA: AENDELEZA KAMPENI YA “KILA MTU ATIBIWE KWAO” KISARAWE

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe,Mhe.Dkt. Selemani Jafo, ameendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha huduma za afya kupitia kampeni yake ya “Kila Mtu Atibiwe Kwao”, inayolenga kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na zahanati ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Akiwa katika ziara ya kuwashukuru wananchi wa Kitongoji cha Kola, Jafo amechangia tofali 1,500 kwa ajili…

Read More

TAKUKURU Lindi Yaokoa Zaidi ya Shilingi Milioni 16

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU Mkoa wa Lindi, imefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 16 baada ya kubaini na kuziba mianya ya ubadhirifu katika miradi ya maendeleo na usimamizi wa rasilimali katika kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2025. Kwa Mujibu wa Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoani humo  EMMA ACKIM MWASOGYE alipokuwa anazungumza…

Read More