Admin

CMSA:SERIKALI IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA

-Katika kipindi cha mwaka 2025 imefikisha Sh.trilioni 4.4 kutoka Sh.trilioni 2.6  Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA) imesema Serikali imepata mafanikio makubwa kupitika mifuko ya uwekezaji ya pamoja ambapo katika kipindi cha mwaka 2025 imefikisha Sh. trilioni 4.4 ikilinganishwa na Sh.trilioni 2.6 ya mwaka 2024. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Usimamizi…

Read More

KASI YA MRADI WA EACOP YAPONGEZWA NA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI

:::::::::; 📌*Mradi wafikia asilimia 81 huku uchomeleaji wa mabomba ukikamilika kwa asilimia 100* Watumishi kutoka Wizara ya Nishati wamepongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambao umefikia asilimia 81 huku ukifungua fursa nyingi kwa wananchi ikiwemo upatikanaji wa ajira na ujuzi.. Akizungumza Februari 27, 2026, Chongoleani, Tanga,…

Read More

MKUU WA MKOA KATAVI AAGIZA UTII WA SHERIA ZA TASAC

Na Mwandishi Wetu,Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ameagiza wadau wote wa usafiri majini na shughuli zinazohusiana na uendeshaji wa vyombo vya majini mkoani humo kuhakikisha wanatii kikamilifu sheria na taratibu zinazosimamiwa na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Mrindoko ametoa maagizo hayo leo tarehe 27 Februari, 2026, alipokutana na watalaam wa…

Read More

MBUNGE KIJA NTEMI ATOA SADAKA YA TENDE MISIKITI YA KATORO

Mbunge wa Jimbo la Katoro injinia Kija Limbu Ntemi Leo ametoa sadaka ya tende katika misikiti mbalimbali ya Jimbo hilo ikiwa ni sehemu ya kudumisha umoja na amani kama desturi ya Watanzania Injinia kija alisema kuwa ataendelea kusimamia suala la mshikamaano na kuhakikisha Kila mwananchi ana uhuru wa kuabudu kwa Imani yake. Katika hatua nyingine…

Read More

Benki ya Absa kuendelea kushiriki mikakati ya kuboresha ustawi na maendeleo endelevu ya watoto, familia na jamii nchini

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto), akishikana mikono na Mkurugenzi wa Shirika la World Vision Tanzania, Bw. James Anditi, wakati wa uzinduzi rasmi wa Mkakati wa miaka mitano wa Jubilei (2026–2030) wa shirika hilo jijini Dar es Salaam jana, unaolenga kuboresha ustawi na maendeleo endelevu ya watoto, familia na jamii nchini….

Read More

Mabadiliko ya Tabianchi Yanakuja kwa ajili ya Kahawa Yako ya Asubuhi – Masuala ya Ulimwenguni

Hali ya hewa ya joto inayohusiana na mabadiliko ya hali ya hewa inaathiri uzalishaji wa kahawa. Credit: Delightin Dee/Unsplash by Busani Bafana (bulawayo, zimbabwe) Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Februari 27 (IPS) – Kikombe chako cha asubuhi cha kahawa kinaweza kugharimu zaidi hivi karibuni, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa,…

Read More