Admin

Mboni Masimba amrudisha jukwaani Bi Mwanahawa Ally 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Chocolate Princess,Mboni Masimba, amemrudisha jukwaani mkongwe wa Taarabu nchini, Mwanahawa Ally aliyetangaza kustaafu kuimba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mboni amesema,  anatarajia kufanya tamasha la mkesha wa muziki wa taarabu litakalohusisha wakali wasanii wa muziki huo nchini akiwemo Mwanahawa Ally, Agosti 28 kwenye Viwanja vya…

Read More

BALOZI DKT NCHIMBI AZUNGUMZA NA MAKATIBU UWT

::::::: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa na Wilaya wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) wanaoudhuria mafunzo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, yaliyofanyika leo Ijumaa tarehe 22 Oktoba 2025, katika Ukumbi…

Read More

Mandonga atamba na ngumi kusanyakusanya Tabora

BONDIA machachari wa ngumi za kulipwa nchini  Kareem Mandonga  sambamba na wenzao wamepimwa uzito leo kwa ajili ya mapambano yatakayofanyika kesho Jumamosi, huku bondia huyo akitamba na ngumi mpya iitwayo ‘Kusanyakusanya’. Mandonga na wenzao wanatarajia kupigana kesho usiku katika  ‘Usiku wa Mabingwa wa Tabora’ ambapo Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Upendo Belti Wella kwa niaba…

Read More

DKT. BITEKO ATAKA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE KUWA MFANO WA MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA

:::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewataka watumishi katika Wizara ya Nishati na Taasisi zilizochini ya wizara hiyo kuwa mfano katika matumizi ya  Nishati Safi ya kupikia ili kuitekeleza kwa vitendo ajenda iliyoasisiswa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan  inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama kwa afya…

Read More

Elimu, uwekezaji vikwazo ufikiaji fursa uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Kukosekana kwa elimu ya kutosha na uwekezaji zimetajwa kuwa sababu zinazofifisha jitihada za ufikiaji wa fursa zilizopo katika uchumi wa buluu nchini. Hayo yanasemwa wakati ambao tayari Serikali imezindua mkakati wa kitaifa unaolenga kuhakikisha fursa zilizopo katika uchumi wa buluu zinafikiwa kikamilifu. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Chuo cha Bahari (DMI), Profesa…

Read More

‘Kushindwa kwa ubinadamu yenyewe’, anasema mkuu wa UN – maswala ya ulimwengu

Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema matokeo ya Uchambuzi wa Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula (IPC) hawakuwa siri: “Ni janga lililotengenezwa na mwanadamu, mashtaka ya maadili-na kutofaulu kwa ubinadamu yenyewe. “Familia sio juu ya chakula; ni Kuanguka kwa makusudi ya mifumo inayohitajika kwa maisha ya mwanadamu. “ Hali ya njaa inakadiriwa kuenea kutoka…

Read More