MAWAZIRI WA MAMBO YA NDANI TANZANIA NA ZAMBIA WATUA EDEN YA NGORONGORO NA UJUMBE WA WATU 170
Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro jana tarehe 26 Februari 2026 limepokea ugeni mzito uliongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Tanzania, Mhe. Patrobas Paschal Katambi na Waziri wa Mambo ya Ndani na Usalama wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Jacob Jack Mwiimbu pamoja na ujumbe wa wageni 70 wa majeshi ya ulinzi na…