Admin

Mabadiliko ya Tabianchi Yanakuja kwa ajili ya Kahawa Yako ya Asubuhi – Masuala ya Ulimwenguni

Hali ya hewa ya joto inayohusiana na mabadiliko ya hali ya hewa inaathiri uzalishaji wa kahawa. Credit: Delightin Dee/Unsplash by Busani Bafana (bulawayo, zimbabwe) Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Februari 27 (IPS) – Kikombe chako cha asubuhi cha kahawa kinaweza kugharimu zaidi hivi karibuni, kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa,…

Read More

Kamishna: Nidhamu, uadilifu ni msingi wa polisi

Morogoro. Jumla ya askari 785 wa Jeshi la Polisi wamehitimu mafunzo ya uongozi mdogo katika Chuo cha Maofisa wa Polisi Kidatu, huku wahitimu hao wakitakiwa kuzingatia haki za binadamu, nidhamu na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ya kazi. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyowahusisha askari wa vyeo vya Sajini Meja (SM), Sajini Staff (SSGT) na…

Read More

Moshi yapendekeza halmashauri mpya ya Vunjo

Dar es Salaam. Kikao maalumu cha ushauri (DCC) Wilaya ya Moshi kimepitisha mapendekezo mawili ya kuanzishwa kwa halmashauri mpya ya Vunjo na kupandishwa hadhi kwa barabara mbili za wilaya kuwa za mkoa. Mapendekezo hayo yamekuja baada ya ziara ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi akisisitiza maboresho ya kiutendaji na…

Read More

Kardinali Pengo alivyoagwa Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Nyuso zenye huzuni zimetamalaki katika Kanisa Kuu Katoliki la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya waombolezaji wamejitokeza katika misa takatifu ya kumwombea na kumuaga hayati Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo. Kardinali Pengo (82) alifariki dunia Februari 19, 2026 akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), mazishi yake…

Read More

BASATA YATOA WITO WASANII KUJIRASIMISHA MTANDAONI, TAMASHA LA 17 LA MUZIKI WA CHIGOGO KUFANYIKA JULAI CHAMWINO

….. Na Carlos Claudio, Chamwino Dodoma. Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetoa wito kwa wasanii wote nchini kujirasimisha rasmi ili waweze kutambulika kisheria na kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali, likisisitiza kuwa mfumo wa usajili unapatikana mtandaoni kupitia kiungo cha sanaa.go.tz. Wito huo umetolewa leo Februari 27, 2026 katika wilaya ya Chamwino, mkoani…

Read More