Admin

Elimu, uwekezaji vikwazo ufikiaji fursa uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Kukosekana kwa elimu ya kutosha na uwekezaji zimetajwa kuwa sababu zinazofifisha jitihada za ufikiaji wa fursa zilizopo katika uchumi wa buluu nchini. Hayo yanasemwa wakati ambao tayari Serikali imezindua mkakati wa kitaifa unaolenga kuhakikisha fursa zilizopo katika uchumi wa buluu zinafikiwa kikamilifu. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Chuo cha Bahari (DMI), Profesa…

Read More

‘Kushindwa kwa ubinadamu yenyewe’, anasema mkuu wa UN – maswala ya ulimwengu

Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema matokeo ya Uchambuzi wa Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula (IPC) hawakuwa siri: “Ni janga lililotengenezwa na mwanadamu, mashtaka ya maadili-na kutofaulu kwa ubinadamu yenyewe. “Familia sio juu ya chakula; ni Kuanguka kwa makusudi ya mifumo inayohitajika kwa maisha ya mwanadamu. “ Hali ya njaa inakadiriwa kuenea kutoka…

Read More

WATUMIAJI WA BARABARA YA CHAMWINO – DABALO

:::::::::: Meneja wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma Mhandisi Zuhura Amani, ameleeza kuwa Serikali inaendelea kutekeleza ujenzi wa Daraja la mita 60 na upana wa mita 11.6, lililopo eneo la Nzali – Chilonwa, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ambalo litakuwa ni suluhisho la kudumu kwa wananchi wa Wilaya hiyo. Ameeeleza Ujenzi wa Daraja…

Read More

Waziri Kikwete azindua miongozo mitatu, mifumo ya ajira

Dodoma. Serikali imezindua miongozo mitatu na mifumo miwili ambayo inalenga kuondoa malalamiko ya kiutendaji kwa watu wanaoomba ajira na kuweka wazi taarifa zote zinazohusu masuala ya ajira. Miongozo na mifumo hiyo imezinduliwa leo Ijumaa, Agosti 22, 2025 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwan Kikwete….

Read More

Mapya yaibuka mahakamani kesi ya wagombea urais CCM

Dodoma/Dar. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imeifuta kesi ya kikatiba ya kupinga uteuzi wa Samia Suluhu Hassan, kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Uamuzi huo umetolewa kutokana na pingamizi la awali lililowekwa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Kesi hiyo imefutwa leo Agosti 22, 2025 na jopo la majaji Joachim Tiganga (kiongozi wa jopo),…

Read More

Maagizo ya Waziri Jafo kwa bodi mpya ya Tantrade

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo amewataka wajumbe wa Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) kusimamia uadilifu kama nguzo ya msingi katika uongozi wao. Amesema uadilifu ndiyo msingi wa kusimamia taasisi za umma na kwamba bila uadilifu, jitihada zote za kuimarisha biashara haziwezi kufanikisha malengo…

Read More

WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE AZINDUA MIONGOZO NA MIFUMO YA KIELEKTRONIKI YA OFISI YA WAZIRI MKUU

Na; Mwandishi Wetu – DODOMA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amezindua miongozo mitatu na mifumo ya kielektroniki miwili ambayo inalenga kuimarisha uratibu, usimamizi na uendeshaji wa masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu. Miongozo na Mifumo iliyozinduliwa ni pamoja na Mwongozo…

Read More

TPSF yaiuma sikio TRA jinsi ya kuongeza mapato

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na kilio cha makusanyo madogo ya kodi ikilinganishwa na shughuli za kiuchumi zilizopo, Taasisi ya sekta binafsi nchini (TPSF) imeeleza hatua ambazo zikichukuliwa zitabadilisha hali hiyo. Akizungumza leo Agosti 22,2025 wakati wa kikao kazi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na maofisa watendaji wakuu wa kampuni zilizo chini ya TPSF,…

Read More