NEC ya kufumua sekretarieti CCM yasogezwa
Dar/Dodoma. Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa CCM kilichopangwa kufanyika Jumamosi, Februari 28, 2026, kimeahirishwa. Taarifa za ndani ya chama hicho ambazo si rasmi zimebainisha kuwa kikao hicho kimesogezwa mbele hadi Machi 10, 2026, kwa sababu ambazo hazijawekwa wazi. Hata hivyo, taarifa zingine za zimedai kuwa awali mkutano huo ambao unaalezwa moja ya…