
Mtanzania asalia Misri mwaka mmoja
MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto, amesema ameamua kusalia klabuni hapo kwa msimu mmoja ili kusikilizia ofa za Ligi Kuu nchini humo ambazo hazikufikiwa awali. Huu ni msimu wa pili kwa mshambuliaji huyo kuitumikia Makadi. Msimu uliopita alicheza miezi sita akitokea Mlandege na aliwahi kupita Paje Star ya Zanzibar na Lipuli U-20. Akizungumza na Mwanaspoti,…