ACHPR yataka wote waliomteka Mshabaha nchini Kenya wawajibishwe
Dar es Salaam. Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHRO), imepongeza kukamatwa kwa washukiwa watatu wanaodaiwa kuhusika katika jaribio la kumteka nyara mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha lililotokea nchini Kenya. Washukiwa hao ni raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja ambao tayari wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayohusiana na tukio hilo. Tume hiyo…