Malale akaribishwa KVZ kwa kichapo
TIMU ya KVZ inayofundishwa na Malale Hamsini, imepokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, katika mechi ya ligi hiyo iliyochezwa jana Desemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A, uliopo Mjini Unguja. Bao lililofungwa na Yussuf Suleiman dakika ya sita, ndilo lililoishusha KVZ kutoka nafasi ya pili hadi…