Admin

Mwalimu: Kanichagueni nirudishe heshima ya pamba, mifugo

Bariadi. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amewataka wananchi wa Bariadi kumchagua ili aweze kurejesha heshima ya zao la pamba na sekta ya mifugo, ambazo ziliwahi kuifanya wilaya hiyo kuwa kinara wa uchumi katika eneo hilo. Mwalimu ameyasema hayo leo, Jumamosi Oktoba 24, 2025, akiwa katika siku ya pili ya…

Read More

Mgombea urais TLP aahidi kumaliza migogoro ya wakulima, wafugaji

Moshi. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira ameahidi kushughulikia migogoro kati ya wakulima na wafugaji kwa kutenga maeneo maalumu kwa kila kundi. Mbali na mkakati huo, pia amesema ataboresha miundombinu muhimu ya kilimo na ufugaji endapo atapewa dhamana ya kuongoza nchi. Akizungumza leo katika mkutano wa…

Read More

Serikali ilivyojibu madai ya Amnesty sakata la haki za binadamu

Dar es Salaam. Siku tano baada ya Shirika la Amnesty International kutoa taarifa iliyozishutumu mamlaka za Tanzania kwa ukiukwaji wa haki za binadamu na ukandamizaji wa watu kuelekea uchaguzi mkuu, Serikali imejibu taarifa hiyo ikisema imesikitishwa na madai hayo yasiyo na uthibitisho. Oktoba 20, 2025 Shirika la Amnesty ilitoa taarifa yake lilioiita “Unopposed, Unchecked, Unjust:…

Read More

Kuwa Rubani Wa Super Heli Uondoke Na Samsung A26

MUDA wa kuwa rubani wa bahati yako umefika. Meridianbet imezindua promosheni kabambe inayotikisa anga la michezo ya kasino mtandaoni kupitia Super Heli, mchezo maarufu kutoka Expanse Studios. Kampeni hii ya kipekee kwa kucheza Super Heli unapata nafasi ya kujishindia Samsung A26 mpya kabisa, bila malipo ya ziada, bila masharti magumu. Ni kucheza tu, Kufurahia, na…

Read More

Bakwata Mara waandaa dua maalumu kuliombea Taifa amani

Musoma. Waumini wa dini ya kiislamu mkoani Mara wamefanya dua maalumu kuliombea Taifa amani keuelekea uchaguzi mkuu, huku waumini hao wakitakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29, 2025. Dua hiyo imefanyika mjini Musoma leo Oktoba 25, 2025 katika Msikiti Mkubwa wa Ijumaa ambapo Sheikh wa Mkoa wa Mara, Kassim Msabaha amewataka waumini na Watanzania…

Read More

Sababu Mzize kuikosa Silver Strikers, mabosi Yanga wakuna vichwa

HII inaweza kuwa taarifa mbaya kwa mashabiki wa Yanga, baada ya mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize, kujitonesha jeraha la goti, hali iliyomfanya kuikosa mechi ya leo Oktoba 25, 2025 dhidi ya Silver Strikers. Mzize baada ya kujitonesha jeraha lililokuwa likimsumbua awali ambalo alikuwa amepona na kuelezwa angetarajiwa kucheza leo, sasa huenda akafanyiwa upasuaji mkubwa…

Read More

EAC watuma kikosi kazi kufuatilia mwenendo wa uchaguzi nchini

Arusha. Uongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imetuma wajumbe wa uangalizi wa Uchaguzi (EOM) 67 nchini kwa ajili ya kufuatilia mwenendo mzima wa uchaguzi na kusaidia kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unakuwa huru, wa haki na unaoendana na kanuni za kidemokrasia. Waangalizi hao kutoka nchi za EAC wanakuja kutekeleza majukumu hayo wakati Tanzania ikiwa imebakiza…

Read More

Majaji waishukia Polisi kukaa na watuhumiwa zaidi ya saa 24

Bukoba. Mahakama Kuu imeliamuru Jeshi la Polisi nchini, kuwaachia huru watuhumiwa saba inaowashikilia nje ya saa 24 za kisheria, akiwamo Mwenyekiti wa Chadema Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, Chief Adronicus Kalumuna. Katika uamuzi wao, majaji kwa nyakati tofauti wamesema kutoheshimiwa kwa sheria hakuvumiliki, wakinukuu ibara ya 15(1) na (2) ya Katiba ya Tanzania inayokataza mtu…

Read More