Mwili Kardinali Pengo Ulivyowasili Katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu – (Video +Video)
Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Mwili wa Marehemu Mwadhama Polycarp Pengo ulivyowasili katika viunga vya Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu – Jimbo Kuu la Dar es Salaam, kutoka Hospitali ya Lugalo Hospital, jijini humo. Mwadhama Kardinali Pengo, aliyejulikana kwa mchango wake mkubwa katika Kanisa Katoliki na jamii ya Tanzania kwa ujumla, alifariki dunia…