MTENDAJI MKUU ADEM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA USIMAMIZI WA SHULE KWA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI ARUSHA
Mtendaji Mkuu Dkt. Maulid J. Maulid amefunga mafunzo ya uongozi na usimamizi wa shule yaliyoendeshwa kwa Wakuu wa Shule za Sekondari za Wilaya ya Arusha pamoja na viongozi wa elimu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Arusha. Mafunzo hayo yameendeshwa na ADEM kwa muda wa siku tatu kuanzia tarehe 24-26 Februari, 2026 ADEM Bagamoyo. Akifunga mafunzo…