Admin

EWURA NA MISA TANZANIA WAUNGANISHA NGUVU KUIMARISHA UANDISHI WA HABARI ZA NISHATI NA MAJI

Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Lorivii Long’idu, akifungua warsha ya tathmini ya kuwajengea uwezo wahariri na waandishi wa habari kuhusu majukumu ya EWURA. Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Lorivii Long’idu, akifungua warsha ya tathmini ya kuwajengea uwezo wahariri na waandishi wa habari kuhusu majukumu ya EWURA. Meneja wa EWURA Kanda ya Mashariki, Lorivii…

Read More

Wanawake waitwa kupata msaada kuhusu ardhi

Dar es Salaam. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imewaita wanawake wote kwenye kliniki maalumu ya ardhi ‘Samia Ardhi Kliniki’ ili kupata msaada wa kitalaamu kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu ardhi. Naibu katibu mkuu wa wizara hiyo, Lucy Kabyemera amesema Samia Ardhi Kliniki itaanza Machi 2 hadi 7, 2026 katika mikoa yote 26 ikiwa…

Read More

Tanzania yaeleza utayari mwenyeji wa mkutano IPU Arusha

Dar es Salaam. Bunge la Tanzania limetia saini makubaliano ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa 153 wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2026 jijini Arusha. Utiaji saini huo pia umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Bunge na Serikali wakiwamo Rais wa IPU ambaye pia ni Spika mstaafu Dk Tulia Ackson, Naibu Waziri wa…

Read More

DPP amfutia kesi Tumaini aliyedaiwa vitu vya Sh1.5 bilioni

‎Dar es salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Tumaini Moshi (33) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini ( DPP), kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yake. Mshtakiwa huyo alikuwa anakabiliwa na shtaka moja la unyang’anyi wa kutumia silaha…

Read More

Aucho ajibu tuhuma za utovu wa nidhamu Singida BS

BAADA ya uongozi wa Singida Black Stars kutangaza kumsimamisha kwa miezi mitatu Khalid Aucho kwa tuhuma za utovu wa nidhamu na kuchelewa kazini, kiungo huyo raia wa Uganda, ameonekana kujibu kupitia ujumbe aliouchapisha katika ukurasa wake wa Instagram. Taarifa ya Singida Black Stars iliyotolewa leo Februari 27, 2026 na ofisi ya mtendaji mkuu wa klabu…

Read More

Ushindi wampa jeuri Ndayiragije | Mwanaspoti

USHINDI mtamu nyie. Baada ya TRA United kupata ushindi wa mabao 4-1 mbele ya Fountain Gate, kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amesema matokeo hayo yametoa majibu ya kile alichokuwa anakifanyia kazi uwanja wa mazoezi kwa safu ya ushambuliaji na sasa anarudi kuanza na safu ya ulinzi ili kupunguza uwiano wa mabao ya kufunga…

Read More