Admin

Ongezeko Kubwa la Matumizi ya Vita vya Marekani Huongeza Madeni, Ushuru, Mashaka – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni by Jomo Kwame Sundaram (kuala lumpur, Malaysia) Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service KUALA LUMPUR, Malaysia, Februari 27 (IPS) – Wakati Rais wa Maŕekani Donald Trump anasukuma dunia kwenye vita, matumizi ya silaha yamekuwa yakipanda duniani kote. Vita hupata mgao zaidi wa bajeti, hasa kufaidika na tata ya kijeshi na viwanda inayotawaliwa na…

Read More

Aliyemuua shangazi yake akimtuhumu kwa uchawi, kunyongwa

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Sami Kisenga baada ya kukutwa na hatia ya kumuua shangazi yake, Holo Kisenga (50) kwa kumkata na panga kichwani na shingoni, akimtuhumu kuwa ni mchawi na amemuua baba yake. Mauaji hayo yalidaiwa kutokea Mei 19, 2019 katika Kijiji cha Nyaligongo, Mkoa wa Shinyanga. Sami…

Read More

Kichanga chatupwa kichakani, chaokolewa na mpita njia

Tabora. Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na saa chache baada ya kuzaliwa, ametupwa kichakani eneo ya Ipilili, Kata ya Nzega Magharibi, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, akiwa amefungwa kwenye kiroba. Akizungumza kwa njia ya simu na Mwananchi leo Februari 27, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethitibisha kutokea kwa tukio hilo, akisema wanaendelea…

Read More

Mgombea wa CCM ashinda ubunge Peramiho

Songea. Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Lazaro Bunungu ameshinda katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Peramiho, kwa kupata kura 69,002 kati ya kura 79,720, sawa na asilimia 87 ya kura zote zilizopigwa. Akitangaza matokeo hayo, msimamizi wa uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Peramiho, Exavery Luyagaza amesema kwa mamlaka aliyopewa kwa…

Read More

Mgogoro stendi ya daladala Buza wachukua sura mpya

Dar es Salaam. Mgogoro wa stendi ya daladala katika eneo la Buza, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, umeingia hatua mpya baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Temeke kuingilia kati na kuagiza kurejeshwa kwa huduma katika stendi zilizokuwa zikitumika awali, huku uchunguzi wa kina ukianza mara moja. Mkuu wa Takukuru…

Read More