


Folz afanya maamuzi mazito Dar
KAMA ulikuwa hufahamu kuna miezi kadhaa Yanga ilikuwa inajifua ikitumia viwanja vya kukodi, lakini juzi kikosi hicho kilirudi rasmi kambi yao iliyozoelekea lakini iliyokarabatiwa upya pale Avic Town, Kigamboni, jijini Dar es Salaam baada ya kocha wa timu hiyo, Romain Folz kufanya maamuzi. …

Fadlu ashusha mkwra mzito Misri, awataja mastaa
SIMBA mpya inapikwa huko Cairo Misri na juzi umempiga mpinzani mwingine wakati ikitesti mitambo, lakini kocha wa kikosi hicho, Fadlu Davids ametuma salamu kwa wapinzani, huku akishusha mkwara mzito kwa mastaa wa timu hiyo wakati wanamalizia kambi ya mazoezi wakiwa nchini humo. Kocha…

Mabadiliko ya kisiasa juu ya ‘A Knife-Edge’ huku kukiwa na vijembe vya kijeshi-maswala ya ulimwengu
Geir Pedersen aliwaambia mabalozi kwamba huko Sweida hutawala, wapi Vurugu za Kikemikali Mnamo Julai pia ilizua mzozo katika mji mkuu wa Dameski, kusitishwa kwa Julai 19 kumekuwa chini ya shida, lakini mzozo haujaanza tena hadi sasa. Walakini, “bado tunaona uhasama na hatari kwenye pembezoni mwa Sweida, na vurugu zinaweza kuanza tena wakati wowote,” alisema. Katika…

AGIZO LA MINADA YOTE NCHINI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LAANZA KUTEKELEZWA
:::::::: Agizo la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa minada yote nchini inakuwa na miundombinu itakayowawezesha Wachoma nyama, Mama Lishe na Baba Lishe kutumia nishati Safi ya Kupikia limeanza kutekelezwa ikiwa ni utekelezaji wa ajenda ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ya…

Mkuu wa Haki za UN anaamua ‘kuongezeka kwa nguvu’ kwa vikwazo vya Amerika dhidi ya wafanyikazi wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa – Maswala ya Ulimwenguni
Simu yake inakuja siku moja baada ya wafanyikazi wengine wanne wa korti – majaji wawili na waendesha mashtaka wawili – walipigwa na vikwazo kuhusiana na juhudi za kuchunguza madai ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Amerika na Israeli. Hii inafuatia vikwazo vilivyowekwa mapema kwa majaji wengine wanne na mwendesha mashtaka wa ICC. Hatua zilizowekwa zinaweza…

SERIKALI YAENDELEA NA JITIHADA ZA UOKOAJI MGODI WA NYANDOLWA
:::::: Dkt. Kilabuko atoa wito kwa timu ya uokoaji kuongeza kasi na juhudi za uokoaji Mwenyekiti Tume ya Madini atoa Salamu za pole kwa wahanga na waathirika wa ajali Nyandolwa Imeelezwa kuwa, jitihada za kuendelea kuokoa maisha baada ya ajali ya mgodi kutokea eneo la Nyandolwa mkoani Shinyanga zinaendelea usiku na mchana ambapo hadi kufikia…

WAZIRI KOMBO AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI WA JAPAN
:::::;; Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wawekezaji wa Japan kuja Tanzania kufanya uwekezaji mkubwa kupitia mfumo wa Ushirikiano wa Sekta Binafsi na Umma (PPP) katika sekta za kilimo, uzalishaji, madini, uunganishaji wa vifaa na miundombinu ikiwemo miradi mikubwa ya uendelezaji wa bandari ya Dar es Salaam…

SERIKALI YASHIRIKISHA VIJANA MAGEUZI YA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI
::::::: Serikali imeendelea na jitihada za kuhakikisha vijana wote wanapata elimu stahiki kwa kuwaandalia mdahalo maalum waliopo nje ya mfumo rasmi, lengo likiwa ni kusikiliza maoni yao kuhusu ujuzi wanaohitaji ili waweze kujiajiri na kushiriki kikamilifu kwenye uchumi wa nchi. Mdahalo huo umefanyika Agosti 21, 2025 katika Ukumbi wa Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha…

RC CHALAMILA AZINDUA MFUMO WA USAMBAZAJI GAS YA ORYX KATIKA SOKO LA FERRY
::::::::: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Agosti 21 amezindua mfumo wa kwanza wa usambazaji wa gas ya LPG kwa wingi katika soko la Samaki la kimataifa la Ferry Jijini Dar es Salaam mradi ambao umetekelezwa na KAMPUNI ya ORYX Energies Tanzania kwa kushirikiana na Serikali. Mradi huo wa kihistoria ni…