MAKAMU WA RAIS AONGOZA KUMBUKIZI YA MIAKA 120 YA MASHUJAA WA VITA YA MAJIMAJI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Viwanja vya Mnara wa Mashujaa wa Vita ya Majimaji, Mjini Songea, kushiriki uwekaji wa silaha za jadi kama ishara ya kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji. Tarehe 27 Februari 2026, Ruvuma. Makamu wa Rais wa Jamhuri…