Kilichomshinda Shingo si Kiingereza | Mwananchi
Dar es Salaam. Baada ya kupata kigugumizi wakati wa kujinadi kwa lugha ya Kiingereza, mbunge wa Ukonga (ACT Wazalendo), Bakari Shingo, amesema si lugha hiyo iliyomkwamisha kujieleza, bali kuna mengine yaliyosababisha kile kilichoshuhudiwa. Shingo alipata kigugumizi hicho Februari 5, 2026, alipokuwa akijinadi bungeni jijini Dodoma kuomba nafasi ya Uwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mabunge…