TRA yaizamisha Fountain Gate | Mwanaspoti
TRA United imeizamisha Fountain Gate kwa kuitandika mabao 4-1 katika mechi ya Ligi Kuu Bara, iliyopigwa leo Februari 26, 2026 kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu jijini Arusha. Matokeo hayo yanaifanya TRA kupanda nafasi mbili kutoka ya 12 hadi 10 kwenye msimamo wa ligi ikifikisha pointi 16 baada ya kucheza 13, ikizishusha Coastal Union…