
Kocha C.B.E aanza vizingizio | Mwanaspoti
MABINGWA watetezi wa michuano ya CECAFA kwa wanawake, CBE FC ilianza kwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda huku kocha wa timu hiyo, Heye Gizaw akileta visingizio. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Ethiopia imepangwa kundi B na Rayon Sports ambayo iko kileleni kwa kundi hilo na Top Girls ambayo hadi sasa…