Admin

Kocha C.B.E aanza vizingizio | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa michuano ya CECAFA kwa wanawake, CBE FC ilianza kwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda huku kocha wa timu hiyo, Heye Gizaw akileta visingizio. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Ethiopia imepangwa kundi B na Rayon Sports ambayo iko kileleni kwa kundi hilo na Top Girls ambayo hadi sasa…

Read More

Enekia Lunyamila, akiri Mexico ngumu

FC Juarez inayoshiriki Ligi Kuu ya wanawake Mexico, juzi ilikubali kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Pachuca, ukiwa ni mchezo wa tatu kupoteza kwenye mechi 10 walizocheza za ligi. Chama hilo, ambalo wanatumikia Watanzania wawili, Julietha Singano na Enekia Lunyamila, matokeo hayo yameifanya ishuke hadi nafasi ya tisa kwenye msimamo kutoka ya saba, ikiwa na…

Read More

Mukwala anahesabu saa tu | Mwanaspoti

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

Jamila Rajabu anavyoisaka rekodi ya kiatu CECAFA

HADI sasa mshambuliaji kinda wa JKT Queens, Jamila Rajabu anashikilia rekodi ya kufunga hat-trick kwenye michuano ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, baada ya chama lake kuitandika JKU mabao 5-0. Rekodi hiyo inamfanya kuanza kujiwekea nafasi ya kukitafuta kiatu cha ufungaji bora ambacho hadi sasa kinashikiliwa na Fazila Ikwaput wa Kampala Queens….

Read More

Thamani ya Yanga yaizidi hadi Al Ahly

MWENYEKITI wa Kamati ya Mabadiliko ya Mfumo wa Uendeshaji wa Klabu ya Yanga, Alex Mgongolwa, amesema kwa sasa thamani ya timu hiyo imefikia kiasi cha Sh100 bilioni. Thamani hiyo ni kubwa kuliko hata iliyo nayo klabu ya Al Ahly ambayo ni Euro 30 Milioni ambao ni zaidi ya Sh 88 bilioni) ikiwa ni zaidi ya…

Read More

Wiki mbili tu, hati ya uwanja mpya Yanga freshi

YANGA imehakikishiwa kuwa, ndani ya wiki mbili tu itakabidhiwa rasmi hati ya ongezeko la eneo la ujenzi wa uwanja unaotarajiwa kujengwa makao makuu ya klabu hiyo mtaa wa Jangwani. Eneo hilo awali ndiko ulikokuwa Uwanja wa Kaunda ulioifanya Yanga kuwa klabu ya kwanza kumiliki uwanja kabla ya mambo kuwatibukia na kuhaha kuurejesha, ila kikwazo ilikuwa…

Read More

WanaCCM Same Mashariki watakiwa kuvunja makundi

Same. Mgombea mteule wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri, amewataka wanachama wa chama hicho katika Jimbo la Same Mashariki kuvunja makundi na kuungana kwa pamoja ili kuhakikisha wagombea wa CCM wanashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Bushiri ametoa wito huo alipozungumza katika mkutano…

Read More