Admin

TFS SHINES NATIONALLY, WINS BEST FOREST CONSERVATION AND BIODIVERSITY PROTECTION AWARD

The Tanzania Forest Services Agency (TFS) has made national history in the natural resources sector after winning the Best Forest Conservation and Biodiversity Protection Award (TPSIA) 2025, an accolade recognizing institutions that have demonstrated positive and sustainable results in safeguarding natural resources. The award was presented yesterday, 16th December 2025, in Dar es Salaam during…

Read More

TFS YANG’ARA KITAIFA, YASHINDA TUZO YA UMAHIRI UHIFADHI MISITU NA BIOANWAI

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeandika historia mpya katika sekta ya maliasili baada ya kushinda Tuzo ya Umahiri katika Uhifadhi wa Misitu na Ulinzi wa Bioanwai kwa mwaka 2025, tuzo inayotambua taasisi zilizoonesha matokeo chanya na endelevu katika kulinda rasilimali za asili. Tuzo hiyo, inayojulikana kama Best Forest Conservation and Biodiversity Protection Award…

Read More

Malale akaribishwa KVZ kwa kichapo

TIMU ya KVZ inayofundishwa na Malale Hamsini, imepokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, katika mechi ya ligi hiyo iliyochezwa jana Desemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A, uliopo Mjini Unguja. Bao lililofungwa na Yussuf Suleiman dakika ya sita, ndilo lililoishusha KVZ kutoka nafasi ya pili hadi…

Read More

FYATU MFYATUZI: Tulaani mabeberu mabarubaru na maburebure! Ndivyo ilivyo

Kuna mafyatu wanatubagaza na kutushangaza. Si mabeberu ‘wameleta’ vuguvugu na vurugu kayani! ‘Wamehonga’ watoi na mafyatu wakiwashe na kukinukisha kiasi cha wote kunuka wakahujumu amani ya imani kupitia ‘vurugu’ eti ya kudai haki. Wamewadanganya kuwashinikiza mdai haki mkaponzwa. Eti hamna haki! Haki gani katika kaya ya amani yenye ajira lukuki? Nani asiyepata haki hadi akataka…

Read More