RAIS MWINYI: TAASISI ZA ELIMU YA JUU NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Taasisi za Elimu ya Juu zina mchango mkubwa katika kukuza sekta ya elimu na kuandaa rasilimali watu wenye ujuzi, maarifa na weledi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 17 Disemba 2025, alipokuwa mgeni…
Ongezeko la Kutisha la Vita vya Algorithmic – Masuala ya Ulimwenguni
Credit: Annegret Hilse/Reuters kupitia Gallo Images Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatano, Desemba 17, 2025 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Desemba 17 (IPS) – Mashine zisizo na dhamiri zinafanya maamuzi ya mgawanyiko kuhusu nani anaishi na nani atakufa. Hii si hadithi ya uwongo; ndio ukweli wa leo. Huko Gaza, algoriti zimetoa orodha kuu…
TFS SHINES NATIONALLY, WINS BEST FOREST CONSERVATION AND BIODIVERSITY PROTECTION AWARD
The Tanzania Forest Services Agency (TFS) has made national history in the natural resources sector after winning the Best Forest Conservation and Biodiversity Protection Award (TPSIA) 2025, an accolade recognizing institutions that have demonstrated positive and sustainable results in safeguarding natural resources. The award was presented yesterday, 16th December 2025, in Dar es Salaam during…
TFS YANG’ARA KITAIFA, YASHINDA TUZO YA UMAHIRI UHIFADHI MISITU NA BIOANWAI
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeandika historia mpya katika sekta ya maliasili baada ya kushinda Tuzo ya Umahiri katika Uhifadhi wa Misitu na Ulinzi wa Bioanwai kwa mwaka 2025, tuzo inayotambua taasisi zilizoonesha matokeo chanya na endelevu katika kulinda rasilimali za asili. Tuzo hiyo, inayojulikana kama Best Forest Conservation and Biodiversity Protection Award…
Video: Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Mizani Ya Magari Mpemba, Songwe
Video: Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Mizani Ya Magari Mpemba, Songwe – Global Publishers Home Habari Video: Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Mizani Ya Magari Mpemba, Songwe
Dkt. Mwigulu Atoa Amri Kali Tunduma, Akagua Uharibifu wa Miundombinu – Video
Dkt. Mwigulu Atoa Amri Kali Tunduma, Akagua Uharibifu wa Miundombinu – Video – Global Publishers Home Habari Dkt. Mwigulu Atoa Amri Kali Tunduma, Akagua Uharibifu wa Miundombinu – Video
Malale akaribishwa KVZ kwa kichapo
TIMU ya KVZ inayofundishwa na Malale Hamsini, imepokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, katika mechi ya ligi hiyo iliyochezwa jana Desemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Mao A, uliopo Mjini Unguja. Bao lililofungwa na Yussuf Suleiman dakika ya sita, ndilo lililoishusha KVZ kutoka nafasi ya pili hadi…
Othman: SUK ni chombo cha kuleta umoja sio kulinufaisha kundi fulani
Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema chama hicho kinaiangalia Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK) kama ni chombo cha kuleta umoja, mshikamano na usawa kwa wananchi sio kulinufaisha kundi la watu fulani. Othman ameyasema hayo jana Jumanne, Desemba 16, 2025 kwa nyakati tofauti wakati akiwashukuru wazee pamoja na wananchi…
FYATU MFYATUZI: Tulaani mabeberu mabarubaru na maburebure! Ndivyo ilivyo
Kuna mafyatu wanatubagaza na kutushangaza. Si mabeberu ‘wameleta’ vuguvugu na vurugu kayani! ‘Wamehonga’ watoi na mafyatu wakiwashe na kukinukisha kiasi cha wote kunuka wakahujumu amani ya imani kupitia ‘vurugu’ eti ya kudai haki. Wamewadanganya kuwashinikiza mdai haki mkaponzwa. Eti hamna haki! Haki gani katika kaya ya amani yenye ajira lukuki? Nani asiyepata haki hadi akataka…