Admin

Aga Khan kuchunguza bure saratani ya matiti kila Jumamosi

Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa saratani nchini wametoa wito kwa Watanzania, hasa wanawake, kujichunguza mara kwa mara ili kubaini mapema dalili za saratani ya matiti, wakisisitiza kuwa ugonjwa huo unatibika endapo utagundulika mapema. Saratani ya matiti kwa sasa inashika nafasi ya pili kwa wingi wa wanaougua saratani nchini, baada ya mlango wa kizazi na…

Read More

Aliyoahidi Samia kuchochea uchumi Dar, Zanzibar

Zanzibar. Katika kampeni zake Dar es Salaam na Visiwani Zanzibar mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi mbalimbali zinazolenga kuongeza kasi ya biashara na kukuza uchumi ikiwemo mageuzi mapya ya usafirishaji. Samia ameahidi iwapo atachaguliwa kuendelea kuongoza nchi kwa kipindi kijacho atakamilisha miradi mikubwa…

Read More

TANESCO YAOKOA UPOTEVU WA MAPATO WA SHILINGI BILIONI 1.7 KUPITIA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA NCHINI

*Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu. *Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa kutumia vishoka baada ya kusitishiwa huduma Na. Agnes Njaala, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanikiwa kuokoa upotevu wa mapato unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 1.7, kufuatia utekelezaji wa zoezi la ukaguzi wa miundombinu…

Read More

MBAWE JOGGING CLUB YAHAMASISHA USHIRIKI WA KURA NA AMANI

:::::::::: Na Mwandishi Wetu Mbawe Mji Mpya Jogging Club imefanya matembezi ya jogging jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza asubuhi hii mara baada ya kumaliza matembezi hayo, Mwanzilishi na Mweka Hazina wa klabu hiyo, Bi…

Read More

Mambo 4 vita ya Curry, Gordon NBA

SAN FRANCISCO, MAREKANI : TIMU za Golden State Warriors na Denver Nuggets zilianza msimu huu zikiwa na lengo moja tu kurejea kwenye fainali za NBA na kuzuia utawala wa Oklahoma City Thunder katika ukanda wa Magharibi. Wababe hao ambao walitwaa ubingwa wa NBA (Warriors 2022 na Nuggets 2023), walichuana majuzi katika mchezo wa kusisimua kiasi…

Read More

Unayopaswa kufahamu kuhusu asili ya makalio makubwa

Dar es Salaam. Kwa baadhi ya wanawake, urembo ni pamoja na kuwa na makalio makubwa, hali ambayo imekuwa kama kipimo kipya cha mvuto wa mwili. Wapo wanaoamini kuwa umbo hilo linavutia zaidi na kuongeza kujiamini, hasa katika zama hizi ambazo mitandao ya kijamii imetawala taswira ya urembo. Ni kutokana na hilo, wapo waliofikia hatua ya…

Read More