Admin

Migogoro ya ardhi bado mfupa mgumu

Dar es Salaam. Migogoro ya ardhi imeendelea kuwa mfupa ulioshindikana kuvunjika, baada ya malalamiko yake kutawala ziara za Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba na viongozi wengine. Awali, Serikali ilitangaza hatua mbalimbali, ikiwamo upimaji wa ardhi na utoaji wa hati za kimila hasa vijijini, lakini hazikuwa muarobaini wa changamoto migogoro hiyo. Malalamiko zaidi yaliyowasilishwa na wananchi…

Read More

NELLA ANNOUNCES NEW SINGLE “LUKAKU” — THE AFROFUSION ANTHEM THAT POSITIONS HER AS ONE TO WATCH

Cameroon-born, LA-raised Afrofusion artist releases her most personal work yet — a mid-tempo empowerment anthem produced by acclaimed producer Mystro Sugar and mixed by Grammy-nominated mixing engineer Giggz LOS ANGELES, CA — March 6, 2026 — Nella, the Cameroonian-born, Bamiléké Afrofusion artist raising from Los Angeles and Houston, today announces the release of her new…

Read More

Sintofahamu madai ya kutoonekana hadharani kwa Netanyahu

Dar es Salaam. Kumekuwa na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu hatima ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, huku madai yasiyothibitishwa yakisambaa, yakidai kuwa huenda kiongozi huyo amejeruhiwa, amejificha, au ameuawa. Katika siku za hivi karibuni, machapisho mengi kwenye majukwaa mbalimbali ya kijamii yamekuwa yakidai kuwa Netanyahu hajulikani alipo, hali iliyozua maswali mengi…

Read More

Mary Chatanda kuongoza kongamano la CCM China kwa njia mtandao

Na: Mwandishi Wetu Wanachama wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la China (Diaspora), limeandaa Kongamano la Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 kwa njia ya mtandao (Google Meeting) ili kujadili masuala mbalimbali ya kimaendeleo yamuhusuyo mwanamke. Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Machi 15, 2026, majira ya saa tisa kamili alasiri hadi saa kumi na mbili…

Read More

Wanne waliohukumiwa kunyongwa waachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani, imebatilisha adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa watu wanne waliokutwa na hatia ya mauaji na kuamuru waachiliwe huru baada ya kubaini kulikuwa na kasoro za kisheria katika mwenendo wa kesi yao. Agosti 15, 2018 walidaiwa kumuua mke wa  mfanyabiashara wa dhahabu, Mwasi Kakolo na kuiba fedha Sh30 milioni na gramu 260…

Read More

OMO aonesha matumaini mazungumzo na Serikali Zanzibar

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amewaondoa wasiwasi wanachama na wananchi, akiwataka wawe watulivu kwa kuwa mazungumzo ya kuleta suluhu ya kisiasa Zanzibar yanaendelea vizuri. Kauli ya Othman inakuja wakati ambapo chama chake kiko katikati ya mazungumzo na CCM na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhusu mustakabali wa siasa na uamuzi wa…

Read More

Watafiti wabaini aina sita za uyoga zinazopatikana Tanzania pekee

Morogoro. Wataalamu na watafiti wa uyoga pori, wamesema tafiti mbalimbali zilizofanywa zimebaini kuwepo kwa aina sita za uyoga zinazopatikana Tanzania pekee, hali inayoiweka nchi katika nafasi nzuri ya kukuza zao hilo katika soko la kimataifa. Sambamba na hilo, wamesema wameanza mkakati wa kuongeza tafiti za kisayansi ili kuimarisha uzalishaji wa zao hilo kibiashara na kulipendekeza…

Read More