Aga Khan kuchunguza bure saratani ya matiti kila Jumamosi
Dar es Salaam. Madaktari bingwa wa saratani nchini wametoa wito kwa Watanzania, hasa wanawake, kujichunguza mara kwa mara ili kubaini mapema dalili za saratani ya matiti, wakisisitiza kuwa ugonjwa huo unatibika endapo utagundulika mapema. Saratani ya matiti kwa sasa inashika nafasi ya pili kwa wingi wa wanaougua saratani nchini, baada ya mlango wa kizazi na…