Admin

Beti Mechi za EUROPA na Odds Tamu za Meridianbet

Je unajua kuwa Meridianbet ndio wakali wa Odds Tanzania?. Yaani namaanisha kuwa ukitaka Odds kubwa na za kibabe wewe njoo hapa na ubashiri leo. Lakini pia unaweza ukaibuka bingwa kwani machaguo ni mengi hapa. Fenerbahce atamualika kwake Nottingham Forest kutoka kule Uingereza na takwimu zinaonesha kuwa hawa wawili hawajawahi kukutana hivyo hii ndio mara yao…

Read More

Kafulila – ”Kardinali Pengo Aliamini Umoja wa Kitaifa Bila Kujali Upepo wa Kisiasa”

Bakari Mahundu February 26, 2026 0 Comments Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Kardinali Polycarp Pengo, atakumbukwa kama kiongozi wa dini aliyeamini na kusimamia umoja wa kitaifa bila kujali upepo wa kisiasa wa wakati husika. Kafulila amesema Kardinali Pengo…

Read More

JKCI yaja na mkakati kupunguza vifo vya mapema kwa wanaume

Arusha. Wakati ripoti ya kimataifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ikionyesha wanaume duniani wanaongoza kwa vifo vya mapema, takribani asilimia 13 zaidi ya wanawake kila mwaka, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imezindua mkakati mahsusi wa kuhamasisha uchunguzi wa mapema wa afya ya moyo ili kupunguza vifo vya mapema, hususan miongoni mwa wanaume….

Read More

Mapungufu ya ufadhili yanatishia karibu watu milioni 2 waliokimbia makazi yao – Masuala ya Ulimwenguni

The onyo inakuja wakati taifa hilo changa zaidi duniani likisalia kuwa miongoni mwa mizozo ya juu zaidi ya wakimbizi, huku takriban watu milioni 10 wakihitaji msaada wa kibinadamu wakiwemo waliorejea waliokimbia vita katika nchi jirani ya Sudan. IOMinahitaji zaidi ya $131 milioni kwa operesheni nchini Sudan Kusini mwaka huu lakini inakabiliwa na a Pengo la…

Read More