Huduma ya ‘La Riba’ ya NBC Yawafungulia Waislamu Milango ya Uchumi, RC Dodoma Apongeza
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amepongeza jitihada za Benki ya NBC za kuendelea kupanua wigo wa ujumuishi wa kifedha kupitia huduma yake ya kibenki isiyo na riba, La Riba (Islamic Banking), akisema huduma hiyo imewafungulia Waislamu milango mipya ya kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi bila kwenda kinyume na misingi ya imani yao….