Admin

Mechi mbili za maamuzi CECAFA

MASHINDANO ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake yanaendele leo na timu mbili zitapigania nafasi ya nusu fainali, Rayon Sports ya Rwanda itakuwa kibaruani dhidi ya Top Girls ya Burundi, huku JKU ya Zanzibar ikiumana na Yei FC ya Sudan Kusini. Mashindano hayo yanayoendelea Nairobi Kenya, kwa siku 10, yanajumuisha timu tisa na…

Read More

Sapraizi Simba… Magori, Barbara waanzia hapa!

DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama utani. Simba iliyotangaza sura za kazi kwa kuwarejesha vigogo wa maana katika safu ya uongozi ya Bodi ya Wakurugenzi akiwamo Barbara Gonzalez,…

Read More

Mashirikiano PURA, ALNAFT kuimarisha ufanisi wa utendaji

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli ya Nchini Algeria (ALNAFT) kwa lengo la kujadili mashirikiano yatakayowezesha, pamoja na mambo mengine, kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo katika eneo la udhibiti wa shughuli za utafutaji na uzalishaji wa mafuta na…

Read More

Tanzania kushuhudia kupatwa kwa mwezi leo usiku

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa usiku wa leo, Septemba 7, 2025, wananchi wataushuhudia mwezi ukipatwa kwa muda wa takriban saa sita. Kwa mujibu wa TMA, tukio hilo litaanza kwa kupatwa kwa sehemu ya mwezi mara baada ya jua kuzama na kuendelea hadi saa 2:29 usiku. Baada ya hapo,…

Read More

Paresso, Awack watupilia mbali tofauti za kisiasa, wasaka kura za Samia

Karatu. Wabunge waliomaliza muda wao, Cecilia Paresso (Viti Maalumu, Arusha) na Daniel Awack (Karatu), wamesema hawana tofauti binafsi, bali ushindani uliokuwapo awali ulikuwa wa kidemokrasia kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Kauli hizo zimetolewa leo Jumapili, Septemba 2025, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kata ya Mang’ola. Paresso amesema mwaka 2020 aligombea ubunge wa Karatu kupitia Chama…

Read More