
Mechi mbili za maamuzi CECAFA
MASHINDANO ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake yanaendele leo na timu mbili zitapigania nafasi ya nusu fainali, Rayon Sports ya Rwanda itakuwa kibaruani dhidi ya Top Girls ya Burundi, huku JKU ya Zanzibar ikiumana na Yei FC ya Sudan Kusini. Mashindano hayo yanayoendelea Nairobi Kenya, kwa siku 10, yanajumuisha timu tisa na…