TPDC yatumia Sh3.4 bilioni kuboresha miradi ya kijamii Mtwara, Lindi
Dar es Salaam. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema limetumia jumla ya Sh3.4 bilioni katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa jamii zinazozunguka maeneo yenye shughuli za mafuta na gesi asilia Mtwara na Lindi. Utekelezaji wa miradi hiyo ni sehemu ya dhamira ya shirika hilo, kuhakikisha wananchi wananufaika moja kwa moja na…