Admin

NIKWAMBIE MAMA: Mzalendo ni gaidi wa kaburu

Siku moja Mwalimu Nyerere alisema kuwa aliona wakubwa wakienda kufanya azimio Zanzibar. Alipowaona wakirudi kimya kimya na sera za uchumi zikibadilika kufuata matakwa ya WB na IMF, akawa na uhakika kuwa ndoto zake za Azimio la Arusha zilikuwa zimefikia ukingoni. Mwenyewe alijua fika kuwa Azimio la Arusha lilikuwa ni chukizo kubwa kwa wakoloni na wanyonyaji….

Read More

KONA YA MALOTO: Naomba kuchangia hekima kidogo na Padri Kitima

Hekima ya wana wa dunia waliotangulia kuuishi ulimwengu, walisema: “Ukivuliwa nguo chutama.” Oktoba 29, 2025, Tanzania ilivuliwa nguo. Jitihada zote za kujisahihisha zinabeba tafsiri ya kuchutama. Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, wakati wa uzinduzi wa Bunge la 13, Bungeni, Dodoma, Novemba 14, 2025, alikiri nchi kuvuliwa nguo. Aliomba nafasi ya kujirekebisha. Aliahidi maridhiano. Mambo…

Read More

Wanapokosea upinzani kusaka dola nchi za Afrika

Dar es Salaam. Safari ya vyama vya upinzani barani Afrika katika kuisaka dola inaendelea kuwa ngumu na yenye miiba, huku vikwazo vya kisiasa, kisheria na kiusalama vikizidi kutishia uhai na mustakabali wa viongozi wake. Licha ya kuanzishwa kwa vyama vya upinzani kwa dhamira ya kuimarisha demokrasia, kutoa mbadala wa sera na kuikosoa serikali kwa uwajibikaji,…

Read More

Aliyekiri kuua kwa kudai kuvuta bangi, ahukumiwa kunyongwa

Arusha. Bingwa wa kupangua adhabu ya kifo anasa, ndivyo unaweza kuelezea namna Kinyota Kabwe aliyepangua adhabu ya kifo mara mbili, alivyotiwa hatiani tena na kuhukumiwa kifo kwa mara ya tatu kwa kosa lilelile alilolitenda miaka 12 iliyopita. Mara ya kwanza alihukumiwa adhabu ya kifo mwaka 2017 lakini akakata rufaa na mahakama ikaamuru kesi isililizwe upya,…

Read More

Tamko la kihistoria la ugonjwa na afya ya akili, njaa ya Afghanistan inazidi, mzozo wa wakimbizi wa DR Congo – Masuala ya Ulimwenguni

Makubaliano hayo yanaashiria mara ya kwanza kwa serikali kujitolea kushughulikia magonjwa sugu – kama vile ugonjwa wa moyo, saratani na kisukari – pamoja na afya ya akili, kwa kutambua ongezeko lao la maisha na uchumi duniani kote. Futa malengo ya 2030 Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni miongoni mwa visababishi vikuu vya vifo duniani kote, huku…

Read More