Kirusi kipya cha Uviko-19 kinachosambaa kwa kasi, dalili zafanana na mafua
Dar es Salaam. Wakati dunia ikiendelea kuishi na maambukizi ya Uviko-19, wataalamu wa afya wameanza kufuatilia kwa karibu lahaja mpya (aina ya virusi) inayojulikana kama NB.1.8.1, ambayo ni tanzu ya familia ya Omicron ambayo ilisumbua mwaka 2025. Ingawa tafiti za awali zinaonyesha kuwa haisababishi ugonjwa mkali zaidi kuliko lahaja zilizopita, Shirika la Afya Duniani (WHO)…