Mitaa kuingia Kariakoo yaanza kupumua, wafanyabiashara wapewa wiki moja
Dar es Salaam. Siku tisa zikiwa zimepita tangu Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kutawatangazia wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao maeneo yasiyo rasmi kuondoka, baadhi ya maeneo yameonekana kuanza kupitika kwa sasa tofauti na ilivyokuwa siku za nyuma. Baadhi ya barabara ambazo zimeanza kupitika ni pamoja na ya Mtaa wa Tandamti, Mkunguni na Nyamwezi yote…