Sakata la Sowah Simba mwenyewe afunguka
PALE Simba sakata jipya kwa sasa ni juu ya mshambuliaji Jonathan Sowah ambaye inaelezwa ameondolewa kambini, huku yeye mwenyewe akivunja ukimya kwa kueleza kilichotokea. Jana usiku Simba ilikuwa katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ikicheza…