Admin

Tanzania kushuhudia kupatwa kwa mwezi leo usiku

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa usiku wa leo, Septemba 7, 2025, wananchi wataushuhudia mwezi ukipatwa kwa muda wa takriban saa sita. Kwa mujibu wa TMA, tukio hilo litaanza kwa kupatwa kwa sehemu ya mwezi mara baada ya jua kuzama na kuendelea hadi saa 2:29 usiku. Baada ya hapo,…

Read More

Paresso, Awack watupilia mbali tofauti za kisiasa, wasaka kura za Samia

Karatu. Wabunge waliomaliza muda wao, Cecilia Paresso (Viti Maalumu, Arusha) na Daniel Awack (Karatu), wamesema hawana tofauti binafsi, bali ushindani uliokuwapo awali ulikuwa wa kidemokrasia kwa lengo la kuwatumikia wananchi. Kauli hizo zimetolewa leo Jumapili, Septemba 2025, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kata ya Mang’ola. Paresso amesema mwaka 2020 aligombea ubunge wa Karatu kupitia Chama…

Read More

NRA yaahidi mashine za EFD bure kwa wafanyabiashara

Tabora. Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketiya Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Almas Kisabya, amesema endapo atapata ridhaa ya kuliongoza Taifa, ndani ya siku 30 baada ya kuunda Baraza la Mawaziri, kipaumbele chake kitakuwa kuhakikisha mashine za kukusanyia mapato (EFD) zinatolewa bure kwa wafanyabiashara wote nchini. Kisabya amesema hayo leo Jumapili, Septemba 7, 2025,…

Read More

Bandari Dar na rekodi ya kuhudumia meli kubwa

Dar es Salaam. Baada ya mageuzi ya huduma yaliyochochea ufanisi katika uendeshaji wa bandari, hatimaye Bandari ya Dar es Salaam imeanza kupokea na kuhudumia meli kubwa zenye urefu wa hadi mita 300. Hatua hiyo inakuja baada ya uwekezaji katika sekta ya bandari uliolenga kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa kituo kikuu cha kuhudumia shehena…

Read More

Ombwe la midahalo mjadala | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya shangwe, shamrashamra na furaha zinazoshuhudiwa katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, kukosekana kwa midahalo ya wagombea urais inayorushwa mubashara kunatajwa kuwa ombwe katika demokrasia ya Tanzania. Hii si ajali ya kisiasa ya msimu huu pekee. Ni utamaduni uliojengeka kwa zaidi ya miongo mitatu tangu kuanza kwa mfumo wa siasa za…

Read More

Majaliwa aitaja miradi mitano mikubwa akizindua kampeni Mchinga

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amewahakikishia wananchi wa Lindi kuwa miradi mbalimbali ya maendeleo itaendelea kutekelezwa endapo watamchagua mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29,2025. Amesema miradi hiyo ni pamoja na gesi, bandari ya uvuvi Kilwa, ujenzi upya wa barabara ya Dar es Salaam–Lindi,…

Read More

Itutu: Tutauza gesi kwa Sh3,000, kukomesha ufisadi na rushwa

Mwanza. Mgombea ubunge wa Ilemela kwa tiketi ya chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amesema akiingia madarakani yeye na chama chake watafanya mapinduzi makubwa kuboresha maisha ya Watanzania, ikiwemo kushusha gharama za gesi ya kupikia, kutatua changamoto ya maji, kujenga uwanja wa soka mkoani Mwanza na kupambana na ufisadi na rushwa. Itutu…

Read More