TARURA Rufiji Yaimarisha Miundombinu kwa Miradi ya Bilioni 25
Na Miraji Msala-Rufiji Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, Nicolas Ludigery, amesema miradi ya ujenzi wa barabara na madaraja inayotekelezwa wilayani humo inaendelea vizuri, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuboresha miundombinu ya usafiri na kuinua shughuli za kiuchumi kwa wananchi. Akizungumza wakati wa…