Mvua zakwamisha ujenzi wa barabara, mbunge ang’aka
Tunduru. Ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 1.7 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, umeshindwa kukamilika kwa wakati kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika eneo hilo. Barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami ni kipande cha Boma–Mkwanda chenye urefu wa mita 700 na Mlingotini–Supermarket chenye urefu wa kilomita 1. Akizungumza mbele ya Mbunge…