Admin

Mvua zakwamisha ujenzi wa barabara, mbunge ang’aka

Tunduru. Ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilomita 1.7 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, umeshindwa kukamilika kwa wakati kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika eneo hilo. Barabara zinazojengwa kwa kiwango cha lami ni kipande cha Boma–Mkwanda chenye urefu wa mita 700 na Mlingotini–Supermarket chenye urefu wa kilomita 1. Akizungumza mbele ya Mbunge…

Read More

Tathmini yabaini udhaifu wa kuhesabu kwa wanafunzi wa awali

Dodoma. Tathmini iliyofanywa na Serikali kuhusu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa darasa la awali hadi la tatu imebaini kuwa stadi ya kuhesabu iko chini ikilinganishwa na stadi za kusoma na kuandika. Kwa mujibu wa matokeo ya tathmini hiyo, wanafunzi wengi wanafanya vizuri zaidi katika kusoma, ikifuatiwa na kuandika, huku kuhesabu…

Read More

Sababu Rita kuvunja Bodi ya Wadhamini Kanisa la Wasabato

Dar es Salaam. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) umeivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Tanzania, kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa mali za kanisa na kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Februari 25, 2026 jijini Dar es Salaam, Mtendaji Mkuu wa…

Read More

Wasiwasi ulioibuka kuhusu kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Burundi kutoka Tanzania ‘kwa kutumia nguvu’ — Global Issues

Hadi kufikia mwishoni mwa Novemba 2025, kulikuwa na zaidi ya wakimbizi 140,000 wa Burundi katika nchi jirani ya Tanzania, ambao wamekimbia machafuko ya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka mingi nchini Burundi. Wakati maelfu wanaendelea “kurejeshwa kwa hiari”, afisa wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) anasema maelfu bado wanaweza kuhitaji ulinzi wa…

Read More

Nida kubadili muundo vitambulisho vya Taifa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) iko mbioni kuanza kutoa aina mpya ya Vitambulisho vya Taifa ambavyo vimeboreshwa na kuongezewa huduma nane ndani yake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vitambulisho wa Nida, Edson Guyai katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika Jumatatu, Februari 23, 2026. Wanufaika wa vitambulisho hivi vipya watakuwa…

Read More

Vibanda 72 vyafungwa Mbozi, wafanyabiashara wagoma

Songwe. Jumla ya vibanda 72 vinavyozunguka Soko la Ichenjezya, wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, vimefungwa na maofisa mapato wa halmashauri kufuatia mgogoro wa malimbikizo ya kodi ya pango. Hatua hiyo imeelezwa kuchochewa na madai ya kutolipwa kwa kodi tangu mwaka 2021 katika vibanda hivyo. Kufungwa kwa vibanda hivyo kumesababisha wafanyabiashara 167 wanaofanyia biashara ndani ya…

Read More

FYATU MFYATUZI: Nimewasamehe ‘mamluki’ waliokinukisha tukanuka

Juzi, Fyatu mmoja aliyefyatuka bila aibu wala woga akanifyatua na kuzusha kuwa nina uroho wa madaraka kana kwamba yeye hanao! Nani asiyependa madaraka? Kwanza, sikuamini ningehusishwa na dhambi hii ambayo chanzo chake ni shetani kutaka kumfyatua Sir God aliyemfinyanga asijue. Huwa nashangaa. Kwanini Sir God ‘mjua yote’ hakujua kuwa sheitwan angejaribu kumfyatua? Siishii hapo. Kifyatufyatu,…

Read More

Mama lishe aliyegeukia udereva wa daladala

Dar es Salaam. “Asante, rubani wetu! Asante, mwanamke wa shoka, kwa kutufikisha salama salmini! Mungu akubariki sana!” Haya ni baadhi ya maneno yanayosikika kutoka kwa abiria wakimpongeza Joyce Foya kila anapowafikisha salama mwisho wa safari zao. Kauli hizo si za kawaida katika usafiri wa daladala, jijini Dar es Salaam, bali ni ishara ya heshima na…

Read More