Admin

Mwenyekiti wafanyabiashara Arusha ashikiliwa, Mbunge…

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha (DC), Joseph Mkude amesema Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya hiyo, Dominic Mollel huku Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Morris Makoi akitoa ushirikiano wa kumtafuta dalali anayedaiwa kuchukua mali za aliyekuwa mfanyabiashara katika moja ya maduka ya stendi ndogo Arusha, Josephine Shirima. Mwananchi imemtafuta mbunge huyo…

Read More

Lwakatare: Uamuzi wa Msajili umetenda haki CUF

Dar es Salaam. Makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wamesema uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wa kubatilisha uchaguzi wa ndani ya chama hicho, uliofanyika Desemba 18, 2024, umetenda haki kwa wanachama na wote waliogombea. Uchaguzi huo uliomweka madarakani Profesa Lipumba na wenzake watano, ulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa makada wengine…

Read More

Peramiho kesho kuamua mrithi wa Jenista Mhagama

Ruvuma. Jumla ya wapigakura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi utakaofanyika kesho Februari 26, 2026 kwa ajili ya kumchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho na diwani wa Kata ya Shiwinga. Uchaguzi wa Peramiho unafanyika kutokana na kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Jenista Mhagama (CCM) aliyefariki dunia…

Read More

Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari Ongezeko la Influenza, UVIKO-19, Dengue na Kipindupindu – Video

WIZARA ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuhusu mwenendo wa magonjwa ya mlipuko nchini, ikiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, Homa ya Dengue na Kipindupindu, huku ikitoa tahadhari na wito kwa wananchi kuendelea kuchukua hatua za kujikinga. Katika taarifa hiyo iliyotolewa jijini Dodoma, Wizara imeeleza kuwa katika kipindi cha karibuni kumekuwapo na ongezeko la wagonjwa…

Read More