Admin

Ukimya wenu sawa na sumu kwenye ndoa

Ukimya katika ndoa ni moja ya sumu kubwa inayoweza kuharibu uhusiano wa wawili walioamua kushiriki maisha pamoja. Kwa wengi, ukimya huanza kama njia ya kuepuka mabishano au maumivu ya kihisia, lakini kwa muda, ukimya huo huo hugeuka kuwa kizuizi cha mawasiliano, chanzo cha machungu, na mwishowe, ufa mkubwa unaoweza kuvunja ndoa. Pale wenza wanaposhindwa kuzungumza,…

Read More

FCC yatoa elimu kwa wananchi wa Chalinze

Maafisa wa kulinda walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) wametoa elimu kwa wananchi wa Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani kuhusu haki na wajibu wa mlaji, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kumlinda Mlaji duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 31, 2026. Elimu hiyo imelenga kuwajengea wananchi uelewa kuhusu namna ya kutambua bidhaa na…

Read More

Unajengaje ngome ya kihisia na usalama kwa mwenza

Katika ulimwengu wa sasa uliogubikwa na pilkapilka nyingi, ambapo muda umekuwa bidhaa adimu, uhusiano wa kimapenzi unajipata katika mtihani mzito. Watu wengi wanaishi chini ya paa moja lakini wapo mbali kihisia; wanashirikiana majukumu ya kifedha na malezi, lakini mioyo yao haigusani. Kujenga ukaribu wa kihisia na hali ya usalama si jambo linalotokea kwa bahati mbaya,…

Read More

Tofauti za kijinsia zinavyoathiri uhusiano

Matatizo mengi tunayokutana nayo katika uhusiano wa kila siku yana mizizi yake katika tofauti za kijinsia. Ukweli kwamba mpenzi wako ni mwanaume na wewe ni mwanamke, au kinyume chake, unatosha kabisa kuleta tofauti fulani ambazo, zisipoeleweka vizuri, huweza kusababisha misuguano na migongano isiyo ya lazima. Ni muhimu kufahamu kwamba wanaume na wanawake tumetengenezwa tofauti kimaumbile,…

Read More

Ukiiweza ndoa, kwa nini mengine yakushinde?

Katika maisha ya binadamu, kuna mambo mengi ya kufanya na kutofanya. Kwa vile hii ni safu ya ndoa, leo, tutaangalia mafanikio na maanguko katika ndoa. Hapa, kuna swali huwa linatushughulisha sisi kama wanandoa tena wa muda si haba. Je, inakuwaje baadhi ya wanandoa huweza kufanikisha mambo yanayowashinda wengi katika ndoa wakati wengine wakishindwa kabisa japo…

Read More

The Blood of Sudan Must Never Be Silenced

By Moses Ntandu, Dar es Salaam, Tanzania On the land of Sudan, this month of Ramadan has not arrived with peace or hope. Instead, it has come to a country exhausted by war, torn apart by pain, and immersed in the grief of thousands of families who have lost their loved ones. The capital city,…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTI: Mke wangu amenifumania, amekaa kimya

Anti ninashindwa niseme au nifanye nini kwani maana mke wangu anataka kuniua kwa kihoro. Nilikuwa na uhusiano na rafiki yake (nimeacha na sitorudia tena usiniseme vibaya), amejua maana alikuta ujumbe mfupi wa mahaba akaniuliza nikakataa. Nadhani alikuwa anatufuatilia kwani alitukuta uso kwa macho tukiwa hotelini nje ya mji tunaogelea kwenye jakuzi. Siyo jakuzi la jumuia…

Read More

JIONI YA BARAKA FAMILIA YA OYA YASHIRIKI IFTAR NA JAMII

Taasisi ya Oya Micro-crediti imeandaa futari maalum kwa wateja wake na jamii kwa ujumla tukio lililolenga kuimarisha mshikamano wa kijamii. Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ni wakati wa kutafakari, kushukuru, na kushirikiana na jamii katika kujitoa kwenye mambo mablimbali. Kwetu OYA, tunaamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi tu kwa ukuaji wa biashara, bali pia kwa mchango…

Read More