
Sapraizi Simba… Magori, Barbara waanzia hapa!
DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama utani. Simba iliyotangaza sura za kazi kwa kuwarejesha vigogo wa maana katika safu ya uongozi ya Bodi ya Wakurugenzi akiwamo Barbara Gonzalez,…