Ukimya wenu sawa na sumu kwenye ndoa
Ukimya katika ndoa ni moja ya sumu kubwa inayoweza kuharibu uhusiano wa wawili walioamua kushiriki maisha pamoja. Kwa wengi, ukimya huanza kama njia ya kuepuka mabishano au maumivu ya kihisia, lakini kwa muda, ukimya huo huo hugeuka kuwa kizuizi cha mawasiliano, chanzo cha machungu, na mwishowe, ufa mkubwa unaoweza kuvunja ndoa. Pale wenza wanaposhindwa kuzungumza,…