Admin

Dk Mwinyi aahidi ujenzi wa masoko ya kisasa kuimarisha biashara Zanzibar

Unguja. Ili kuimarisha biashara na kurahisisha upatikanaji wa bidhaa, mgombea urais wa Zan-zibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi, ameahidi kuendelea na mpan-go wa kujenga masoko mapya ya kisasa ili ku-rahisisha upatikanaji wa bidhaa kisiwani Zanzi-bar. Maeneo yanayotarajiwa kujengwa ni Mwera, Kisauni, Fuoni na Kwa Haji Tumbo, ili kuondoa changamoto zinazowakabili wafanyabiashara na…

Read More

Moto wateketeza bweni la shule ya Wasichana Asha-Rose Migiro

Mwanga. Moto ambao chanzo chake hakija-julikana umeteketeza bweni la Shule ya Wasichana ya Asha-Rose Migiro, linalotumiwa na wanafunzi 347 katika Kitongoji cha Ma-kuyuni, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Mbali na kuteketea kwa bweni hilo, wanafunzi 46 wamepata mshituko na kupelekwa Kituo cha Afya Mwilange kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto…

Read More

Bado Watatu – 43

Tulishirikiana kulifukua kaburi hilo hadi tukalipata sanduku lililokuwa ndani, ambalo lilikuwa limeshaoza lakini maiti iliyoanza kuharibika ilikuwemo ndani. Kitu ambacho kilitushitua ni kuwa kwenye dole gumba lake la mkono wa kulia kulikuwa na rangi mbichi ya bluu, rangi ambayo hutumika katika mihuri.

Read More

Clara Luvanga anaitaka rekodi Saudia

BAADA ya kuingia kwenye kikosi bora cha wiki mara mbili kwenye Ligi Kuu ya Wanawake Saudi Arabia, mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr amesema huo ni mwanzo tu kwake. Msimu mpya wa Ligi ya Wanawake Saudia umeanza na hadi sasa zimechezwa mechi tatu na nyota huyo ameingia kwenye kikosi bora cha wiki mara…

Read More

Juma Kaseja mguu sawa Championship

BAADA ya ratiba ya Ligi ya Championship kuwekwa wazi, Kocha wa Kagera Sugar, Juma Kaseja amesema moja ya malengo makubwa anayopambana nayo ni kuhakikisha anakirejesha tena kikosi hicho Ligi Kuu Bara, licha ya ushindani mkubwa uliopo. Akizungumza na Mwanaspoti, Kaseja alisema baada ya ratiba kutoka na kikosi hicho kuanza mechi mbili mfululizo nyumbani, wanahitaji kupambana…

Read More

Kipa Dodoma Jiji aipigia hesabu Taifa Stars

KIPA wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesema japo ni mapema kwa sasa kuanza kutamba, lakini nafasi anayopata ya kucheza katika timu hiyo, imempa matumaini makubwa ya kumrejesha tena kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars. Kipa huyo juzi alicheza mechi ya tatu ya Ligi Kuu akiwa na Dodoma na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi…

Read More

Jean Baleke kuibukia Libya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba na Yanga, Mkongomani Jean Baleke, anakaribia kujiunga na kikosi cha Al-Khums ya Libya, baada ya nyota huyo kudaiwa amekubaliana masilahi binafsi na timu hiyo ambayo imeonyesha nia ya kumhitaji. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Libya, zinaeleza Baleke aliyeachana na Yanga baada ya mabosi wa timu hiyo kutoridhishwa na kiwango chake, kwa…

Read More

Meridianbet Yaja Na Dhamira ya Ushindi Mechi Za Jumatatu

JUMATATU hii, viwanja vya soka barani Ulaya vinageuka majukwaa ya burudani na ushindani mkali, huku mashabiki wakijiandaa kushuhudia mechi nne za kuvutia kutoka EPL, La Liga na Serie A. Kwa wale wanaopenda kubashiri kwa maarifa, Meridianbet imeweka mazingira ya ushindi kuwa ya kuvutia zaidi kuliko kawaida, odds kubwa na machaguo tele kwa kila dakika ya…

Read More

Simba yavamia jeshini, yataka kubeba kocha

BAADA ya kufuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa chini ya kaimu kocha mkuu, Hemed Suleiman ‘Morocco’ uongozi wa Simba umetuma maombi ya kumhitaji kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ili kuongeza nguvu benchi la timu hiyo kama kocha msaidizi. Simba iliyofikia makubaliano ya kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo,…

Read More