Admin

Shime bado hajaridhishwa | Mwanaspoti

KOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya wasichana U20, Tanzanite Queens, Bakari Shime amesema ingawa timu hiyo imeshinda dhidi ya Angola na kwenda raundi ya tatu ya kuwania fainali za Kombe la Dunia 2026, hajaridhika kwa vile kuna makosa yalifanyika kuanzia eneo la ulinzi na ushambuliaji. Tanzanite Queens jana ikiwa ugenini ikirudiana na Angola…

Read More

Pamba Jiji yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Katika pambano hilo lililokuwa la tatu kwa Pamba na la pili kwa wageni, lilihudhuriwa na mashabiki wachache, huku wenyeji wakishindwa kurudia…

Read More

Kinda Azam bado kidogo England

KINDA la Azam FC, Abdulkarim Kiswanya amesema amemaliza wiki moja ya kufanya majaribio kwenye klabu ya QPR inayoshiriki Championship, England. Kiungo huyo aliongozana na Makamu wa Rais wa Azam, Abdulkarim Amin ‘Popat’, alipomsindikiza kuhakikisha mambo yanakuwa sawa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kiswanya alisema tayari amemaliza majaribio na anarejea nchini leo huku akisubiri majibu kama amefaulu ama…

Read More

Gamondi ajipanga upya Afrika | Mwanaspoti

SINGIDA Black Stars imetinga raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuing’oa Rayon Sports ya Rwanda kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-1, huku kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi akisema anajipanga upya ili kuhakikisha wanafuzu hatua ya makundi. Gamondi mwenye rekodi ya kuifikisha Yanga katika hatua ya makundi ya…

Read More

Mwili wa Askofu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Bukoba. Mwili wa Askofu Rugambwa, aliyekuwa Balozi wa Papa nchini New Zealand, umepokelewa na mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki mkoani Kagera, uwanja wa ndege wa Bukoba ukiwasili kutoka Dar es Salaam. Mwili huo umewasili saa 6:17 mchana kwa ndege ya kampuni ya Air Tanzania. Baada ya kupokelewa uwanja wa ndege, umepelekwa makao makuu ya…

Read More

SAID SOUD SAID: Ole wao watakaolalia vitanda vya 6 × 6 Zanzibar

Haina maana kuwa ili ushindane na mtu sharti uwe hukubaliani naye. Inawezekana ukaona anafaa kwa kila nyanja, lakini kwa sababu ushindani umewekwa, unaamua kujitosa kumkabili unayemkubali. Inaitwa ushindani bila chuki. Said Soud Said ni mgombea urais wa Zanzibar kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Anasema anajitosa kumkabilia Rais aliye madarani, Dk Hussein Ali Mwinyi, lakini wakati huohuo…

Read More

Vinyozi, wasusi, wapigapicha sasa kusajiliwa Basata

Dar es Salaam. Vinyozi, wasusi, wabunifu wa michoro, wapigapicha, wachoraji na wataalamu wengine wa kazi za ubunifu sasa watalazimika kusajiliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ili kuendesha shughuli zao kihalali nchini Tanzania. Agizo hili jipya linatokana na marekebisho ya kanuni za Basata zilizochapishwa katika Gazeti la Serikali Juni 30, 2025, na kuashiria mabadiliko…

Read More