Admin

Msimu wa Kelvin John Denmark

MSHAMBULIAJI wa AaB Fodbold ya Denmark, Kelvin John licha ya timu yake hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub amezidi kuwa bora na amesema huu ni msimu wake wa kuonyesha kiwango bora. Jana, timu ya Mtanzania huyo ilipoteza mabao 2-1 dhidi ya Lyngby Boldklub kwenye muendelezo wa Ligi Daraja la Kwanza Denmark na…

Read More

10 Taekwondo wafaulu ukocha kimataifa

MAKOCHA 10 kati ya 30 wamefaulu kozi ya ukocha wa Taekwondo inayotambuliwa na Shirikisho la mchezo huo la Dunia. Kozi hiyo iliyofanyika kwenye kituo cha Olympafrica kilichopo Kibaha, Pwani iliendeshwa na mkufunzi kutoka Shirikisho la Taekwondo la Dunia, Dk Jun Cheol Yoon. Yoon ambaye pia ni Mwenyekiti wa Waamuzi wa mchezo huo duniani amesema ambacho…

Read More

TRA Yazindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda, amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara litakalosaidia kuwatambua wafanyabiashara ambao hawapo kwenye mfumo rasmi na kutatua changamoto zinazowakabili ili kukuza biashara zao. Uzinduzi huo umefanyika jana, Septemba 27, 2025, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya…

Read More

OMO aahidi kurasimisha mazao ya bahari Zanzibar

Unguja. Mgombea wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, ameahidi kuyageuza mazao ya bahari kuwa sekta rasmi yenye mchango mkubwa ili kukuza uchumi wa visiwa hivyo. Othman ameeleza hayo leo Jumapili, Septemba 28, 2025 wakati akizungumza na wavuvi na waanikaji wa dagaa eneo la Mangapwani, Wilaya ya Kaskazini B,…

Read More

Jeshi la Polisi laonya wasichana picha za utupu

Tanga. Jeshi la Polisi limewataka wasichana kuepuka kujipiga picha za utupu na kuzihifadhi kwenye simu za mikononi ili kuepuka madhila na udhalilishaji unaoweza kutokea endapo picha hizo zitasambazwa kupitia mitandao ya kijamii. Limesema hata kama mmiliki wa simu hajasambaza picha hizo binafsi, iwapo simu itapotea, kuharibika au kuchukuliwa na mtu mwingine, anaweza kutumia nafasi hiyo…

Read More

Serikali kuongeza vituo vya gesi kufikia 18 mwaka huu

Dar es Salaam. Serikali inatarajia kuongeza idadi ya vituo vya kujazia gesi asilia kutoka 11 vilivyopo sasa jijini Dar es Salaam hadi 18 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupanua upatikanaji wa nishati safi na nafuu kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba,…

Read More