Admin

Njia anayopitia Mpina kuliendea sanduku la urais

‎‎Dar es Salaam. Jana, Ijumaa, Septemba 26, 2025, Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma ilimpa kibali, Luhaga Mpina, kufungua shauri kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa kubatilisha uteuzi wake wa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. Katika uamuzi uliotolewa na Jaji Wilbert Chuma, ameelekeza Mpina kufungua shauri hilo ndani ya siku 14, kuanzia…

Read More

Mapya yaibuka mazishi ya Edgar Lungu

Pretoria. Zikiwa zimetimia siku 252 tangu kufariki dunia kwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, mwili wake bado umehifadhiwa katika nyumba ya huduma za mazishi ya Two Mountains, Afrika Kusini kufuatia mvutano wa wapi azikwe, kati ya Serikali na familia yake. Wakati mvutano huo ukiendelea, familia ya Lungu imetoka hadharani kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni…

Read More

Ahadi tano za CCM zilizoacha matumaini mikoa ya kusini

Ziara ya mgombea wa urais wa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya kanda ya kusini imeacha matumaini kufutia ahadi tano alizozitoa zinazolenga kuchagiza uchumi ya kanda hiyo. Kwa siku sita Samia alipita katika majimbo ya mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara akiinadi ilani ya CCM na kutoa ahadi ambazo Serikali…

Read More

Mashaka yeye kwake kambi popote

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema kitendo cha Simba kumtoa kwa mkopo ni fursa kwake kujipanga ili arejee katika ushindani. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Mashaka anasema kujipanga upya siyo kitu cha ajabu kwa mchezaji, badala yake anaweza kufanya vitu vikubwa kuliko mwanzo akisisitiza hata Ulaya inafanyika hivyo. Baada ya kutoonyesha kiwango bora akiwa na…

Read More

Ruwaich ataja athari za jamii kukizoea kifo

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi ametuma ujumbe kwa Watanzania akiwataka kutokizoea kifo kwani kufanya hivyo watakuwa viumbe wa ajabu. Ametahadharisha endapo watu watajenga mazoea dhidi ya kifo, watasababisha mauaji ya binadamu wenzao kwa mzaha. Ametoa wito huo leo Jumamosi Septemba 27, 2025 wakati…

Read More

Mwalimu: Tutaibadili Uyole kuwa kitovu cha biashara Afrika

Mbeya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, serikali yake itaanzisha mpango kabambe wa kuliboresha eneo la Uyole, mkoani Mbeya. Amesema ataboresha eneo hilo kwa kujenga kituo cha kimataifa kitakachokuwa mfano wa ukaribisho wa Tanzania kwa wageni kutoka…

Read More