Giza latanda ACT Wazalendo kuingia SUK
Dar es Salaam. Siku zinaendelea kuyoyoma, huku ukimya ukitawala kuhusu hatima ya Chama cha ACT – Wazalendo, kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK). Hali iko hivyo, wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameacha nafasi nne za uwaziri zinazopaswa kujazwa na ACT – Wazalendo, chama kilichoshika nafasi ya pili kwa kura za…