Pamba Jiji vs TRA United ni vita ya makocha Wakenya
KESHO kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, kuna mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Pamba Jiji dhidi ya TRA United kutoka Tabora kuanzia saa 8 mchana. Mechi hiyo inatarajiwa kuvuta hisia za watazamaji wengi kutoka na kukutanisha makocha wawili wa timu hizo ambao ni raia wa Kenya. Francis Baraza wa Pamba Jiji…