Admin

Walinda amani sita wamezikwa kufuatia shambulio baya la ndege zisizo na rubani nchini Sudan – Global Issues

Akitoa taarifa katika mkutano wa kila siku wa mchana, Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq aliwaambia waandishi wa habari kwamba ‘helmeti za bluu’ ziliuawa, na wengine tisa kujeruhiwa Jumamosi wakati. UNISFAmsingi wa vifaa ulilengwa katika kile Misheni ilielezea kama “shambulio la kutisha la ndege zisizo na rubani.” Haijulikani kwa wakati huu ni nani…

Read More

TUZO YA JAFO YA UFANISI WA JUU KWA MRADI WA MAENDELEO KUANZA KUTOLEWA KILA MWAKA KWA MWENYEKITI WA KIJIJI

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuwashukuru kwa kuchaguliwa tena kuwa Mbunge wa jimbo hilo pamoja na kuwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya. Na.Alex Sonna-,Kisarawe MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ametangaza kuanza…

Read More

Wastaafu Dodoma kupatiwa vitambulisho vya kielektroniki

Dodoma. Wizara ya Fedha imetoa wito kwa wastaafu wa Wilaya ya Dodoma Mjini wanaolipwa na Hazina kufika Ofisi za Hazina Dodoma ili kupatiwa vitambulisho vya wastaafu vya kielektroniki. Wito huo umetolewa na Mhasibu Mkuu kutoka Wizara ya Fedha, Jenipha Ntangeki, katika Ofisi ya Wizara ya Fedha, jijini Dodoma. Jenipha ametoa kauli hiyo wakati wa shughuli…

Read More

Mazishi ya Jenista yaibua kero ya barabara Mbinga

Mbinga/Dar.  Wakati aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama akihitimisha safari yake ya mwisho duniani kwa kuzikwa, kero ya barabara imeibuliwa kwenye maziko yake na kutafutiwa ufumbuzi. Jenista aliyefariki dunia Alhamisi, Desemba 11, 2025 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma, kwa ugonjwa wa moyo, amezikwa leo Jumanne, Desemba 16, 2025 katika Makaburi ya Senta…

Read More