Rushwa yatajwa kuchochea foleni Tunduma
Tunduma/Dar. Kiini cha msongamano wa magari unaoukabili mpaka wa Tunduma mkoani Songwe ni zaidi ya wembamba wa barabara. Yapo mengi yanayohusishwa na hali hiyo, vikiwemo vitendo vya rushwa. Sambamba na rushwa, wamiliki binafsi wa maegesho ya magari wameingia lawamani, wakitajwa kushiriki mchezo wa kusababisha msongamano huo ili kutengeneza mazingira ya kujiingizia kipato. Wakati hali ikielezwa…