Admin

SERIKALI YAWAPA VIJANA NJIA YA MASOKO YA KIMATAIFA

“”””””” **** Serikali imeanzisha mpango maalumu wa kuwaandaa vijana kuwa wawekezaji wakubwa kwa kuwapa mafunzo ya uzalishaji wa kisasa na kuwaunganisha moja kwa moja na masoko ya kimataifa, hatua inayolenga kuimarisha biashara ya nje na kukuza uchumi wa viwanda nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa…

Read More

SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH – MISANGA

Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa pamoja katika kuwasaidia watu wenye uhitaji katika jamii. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Ramadhan Charity Programme 2026, Ahmed Misanga, wakati akikabidhi sadaka ya iftar katika kituo cha Jaamiul-Furouq, kilichopo wilayani Manyoni mkoani Singida. Misanga amesema…

Read More

KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NAMNA WANANCHI WANAVYOUTUMIA UMEME KUJILETEA MAENDELEO

📌 Umeme umewashwa kwa mara ya kwanza katika vitongoji viwili 📌 Zaidi ya Shilingi bilioni 60 zatumika kusambaza umeme kwenye vitongoji vya mkoa wa Shinyanga Kahama, Shinyanga📍 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na namna fedha za Bajeti ya Mwaka 2025/2026 zilizoidhinishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zinavyotumika…

Read More

Sh3 bilioni zatengwa kuboresha miundombinu ya elimu Mbarali

Mbarali. Kwa miaka mingi baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari katika Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya wamekuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu kila siku kufuata masomo, hali inayochosha na wakati mwingine kuwakatisha tamaa ya kuendelea na shule. Hata hivyo, hali hiyo huenda ikawa historia baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali kutenga zaidi ya…

Read More

Meneja wa Global Azungumzia Umuhimu wa Kuishi Kwa Maadili Baada ya Kifo cha Ssebo – Video

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho leo Machi 14, 2026 amesema kuwa kifo ni fumbo na kila mwanadamu anapaswa kujiandaa nacho kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kukikwepa. Mrisho ameyasema hayo kufuatia kumalizika kwa ibada ya kumuombea aliyekuwa mfanyabiashara maarufu Ssebo, iliyofanyika…

Read More