SERIKALI YAWAPA VIJANA NJIA YA MASOKO YA KIMATAIFA
“”””””” **** Serikali imeanzisha mpango maalumu wa kuwaandaa vijana kuwa wawekezaji wakubwa kwa kuwapa mafunzo ya uzalishaji wa kisasa na kuwaunganisha moja kwa moja na masoko ya kimataifa, hatua inayolenga kuimarisha biashara ya nje na kukuza uchumi wa viwanda nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa…