Admin

TUZO YA JAFO YA UFANISI WA JUU KWA MRADI WA MAENDELEO KUANZA KUTOLEWA KILA MWAKA KWA MWENYEKITI WA KIJIJI

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuwashukuru kwa kuchaguliwa tena kuwa Mbunge wa jimbo hilo pamoja na kuwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya. Na.Alex Sonna-,Kisarawe MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ametangaza kuanza…

Read More

Wastaafu Dodoma kupatiwa vitambulisho vya kielektroniki

Dodoma. Wizara ya Fedha imetoa wito kwa wastaafu wa Wilaya ya Dodoma Mjini wanaolipwa na Hazina kufika Ofisi za Hazina Dodoma ili kupatiwa vitambulisho vya wastaafu vya kielektroniki. Wito huo umetolewa na Mhasibu Mkuu kutoka Wizara ya Fedha, Jenipha Ntangeki, katika Ofisi ya Wizara ya Fedha, jijini Dodoma. Jenipha ametoa kauli hiyo wakati wa shughuli…

Read More

Mazishi ya Jenista yaibua kero ya barabara Mbinga

Mbinga/Dar.  Wakati aliyekuwa mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama akihitimisha safari yake ya mwisho duniani kwa kuzikwa, kero ya barabara imeibuliwa kwenye maziko yake na kutafutiwa ufumbuzi. Jenista aliyefariki dunia Alhamisi, Desemba 11, 2025 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma, kwa ugonjwa wa moyo, amezikwa leo Jumanne, Desemba 16, 2025 katika Makaburi ya Senta…

Read More

Ulimwengu akumbushia sakata lake, Balozi Bandora kuvuliwa uraia

Dar es Salaam. Mwandishi wa habari mkongwe nchini, Jenerali Ulimwengu amekumbushia namna yeye na wenzake wanne, akiwemo Balozi Timothy Bandora, walivyovuliwa uraia wa Tanzania na utawala wa awamu ya tatu. Ulimwengu amesema hayo leo Desemba 16, 2025 wakati wa mazishi ya mwanadiplomasia mkongwe nchini, Balozi Bandora ambayo yamefanyika jijini Dar es Salaam. Bandora alifariki dunia…

Read More

Wanawake vinara ufaulu ARU, 2024/2025

Dar es Salaam. Jumla ya wanafunzi 115  waliofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali   kwa mwaka wa masomo 2024/2025 katika Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU), wametunukiwa tuzo na zawadi  huku asilimia 60 walioongoza wakiwa ni wanawake. Hayo yamesemwa leo Jumanne Desemba 16, 2025 na Makamu Mkuu wa  Chuo hicho, Profesa Evaristo Liwa kwenye sherehe za utoaji wa…

Read More