TUZO YA JAFO YA UFANISI WA JUU KWA MRADI WA MAENDELEO KUANZA KUTOLEWA KILA MWAKA KWA MWENYEKITI WA KIJIJI
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuwashukuru kwa kuchaguliwa tena kuwa Mbunge wa jimbo hilo pamoja na kuwapongeza kwa kazi nzuri wanayoifanya. Na.Alex Sonna-,Kisarawe MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ametangaza kuanza…