Othman aahidi kutoa haki bila kuangalia itikadi kisiasa
Unguja. Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema atakapochaguliwa kuiongoza Zanzibar, Serikali yake haitatoa huduma kwa kuangalia itikadi za kisiasa. Sambamba na hilo, amesisitiza kusimamia ardhi kuwa rasilimali inayomilikiwa na mwananchi badala ya Serikali na wananchi ndio watakaokuwa na mamlaka ya kuikodisha, huku Serikali ikipokea kodi na kutoa mwongozo unaosimamia. Othman…