Admin

Guterres anaonya dhidi ya upotezaji wa kasi ya kidiplomasia ‘dhaifu’ juu ya Ukraine – Maswala ya Ulimwenguni

Na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameketi kwenye chumba cha iconic baada ya kufika kushiriki katika wiki ya kiwango cha juu cha UN, Katibu Mkuu aliangalia nyuma mnamo Februari wakati baraza lilikuwa na alama ya maadhimisho ya tatu ya uvamizi kamili wa Urusi. Tangu wakati huo, kumekuwa na ushiriki wa kidiplomasia “mkali” lakini pia “kuongezeka…

Read More

CCM itakavyoibadili Wanging’ombe | Mwananchi

Njombe. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe ujenzi wa visima vikubwa 150 vitakavyowawezesha kulima kilimo cha umwagiliaji huku vitongozi zaidi ya 200 visivyo na umeme vitaunganishiwa huduma hiyo. Pia, ujenzi wa shule mpya za msingi tatu, barabara kwa kiwango cha lami na changarawe na kuboresha huduma za afya kwa kujenga…

Read More

SHULE YA MSINGI MPAKANI YAPATA MSAADA WA MATANKI YA MAJI SAFI KUTOKA ANGLE PARK.

 Dar es Salaam – Uongozi wa Angle Park umeeleza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kusaidia kutatua changamoto zinazozikabili shule za msingi na sekondari, hususan zilizoko katika maeneo jirani na makazi yanayozunguka kampuni hiyo. Akizungumza katika makabidhiano kwa uongozi wa Shule ya Msingi Mpakani, Mkurugenzi wa Angle Park, Bonifasi Daniely, amesisitiza kuwa…

Read More

Kwa nini bei siyo kipimo cha ubora wa bidhaa

Dar es Salaam. Kwa miaka mingi kumejengeka dhana miongoni mwa Watanzania kuwa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya kifahari ni halisi (original), huku zile zinazopatikana kwenye masoko ya kawaida yenye msongamano ni feki. Si hivyo tu, wapo wanaoamini bidhaa ikiwa ghali ndiyo halisi. Lakini je, bei ndiyo kipimo cha ubora? Mtazamo huo kwa muda mrefu umeathiri…

Read More