Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 24, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameendelea na ziara ya kampeni mkoani Njombe ambapo amefanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Halmashauri ya Mji wa Njombe tarehe 23 Septemba 2025. Katika hotuba yake mbele ya maelfu ya wananchi waliojitokeza,…
DAR ES SALAAM, TANZANIA, Septemba 2025; KATIKA moja ya matukio yaliyosubiriwa kwa hamu mwaka huu, Kampuni ya Tanzania Breweries Plc (TBL), ambayo ni kampuni tanzu ys AB InBev na kampuni kinara kwenye utengenezaji na usambazaji wabia nchini, imezindua Ripoti yake ya Uendelevu ya mwaka 2024 jijini Dar es Salaam tarehe 23 Septemba, chini ya kauli…
KUNA mambo kadhaa yapo hapa kipindi hiki ambacho mabosi wa Simba wanaendelea kusaka kocha atakayerithi mikoba ya Fadlu Davids, huku mezani jina la kocha mmoja kutoka Madagascar likipigiwa kura nyingi, baada ya kubainika wamekutana na ugumu wa kumng’oa Miguel Gamondi Singida Black Stars. …
Last updated Sep 23, 2025 JUMATANO nyingine Mungu ametukutanisha. Kama ilivyo kawaida, hapa huwa tunajadili mambo mbalimbali yahusuyo masuala ya mahusiano. Ili uweze kuishi vizuri, binadamu unahitaji mahusiano mazuri na binadamu wenzako. Iwe ni rafiki wa kawaida na hata mchumba wako, mnapokuwa kwenye mahusiano mazuri ndipo utakapoona raha ya dunia. Tofauti na hapo, dunia…
Na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameketi kwenye chumba cha iconic baada ya kufika kushiriki katika wiki ya kiwango cha juu cha UN, Katibu Mkuu aliangalia nyuma mnamo Februari wakati baraza lilikuwa na alama ya maadhimisho ya tatu ya uvamizi kamili wa Urusi. Tangu wakati huo, kumekuwa na ushiriki wa kidiplomasia “mkali” lakini pia “kuongezeka…
Njombe. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe ujenzi wa visima vikubwa 150 vitakavyowawezesha kulima kilimo cha umwagiliaji huku vitongozi zaidi ya 200 visivyo na umeme vitaunganishiwa huduma hiyo. Pia, ujenzi wa shule mpya za msingi tatu, barabara kwa kiwango cha lami na changarawe na kuboresha huduma za afya kwa kujenga…
Dar es Salaam – Uongozi wa Angle Park umeeleza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali ili kusaidia kutatua changamoto zinazozikabili shule za msingi na sekondari, hususan zilizoko katika maeneo jirani na makazi yanayozunguka kampuni hiyo. Akizungumza katika makabidhiano kwa uongozi wa Shule ya Msingi Mpakani, Mkurugenzi wa Angle Park, Bonifasi Daniely, amesisitiza kuwa…
Dar es Salaam. Kwa miaka mingi kumejengeka dhana miongoni mwa Watanzania kuwa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya kifahari ni halisi (original), huku zile zinazopatikana kwenye masoko ya kawaida yenye msongamano ni feki. Si hivyo tu, wapo wanaoamini bidhaa ikiwa ghali ndiyo halisi. Lakini je, bei ndiyo kipimo cha ubora? Mtazamo huo kwa muda mrefu umeathiri…