Admin

MBUNGE, DC NA DAWASA WASAKA SULUHU YA MAJI KIBAMBA

Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC) pamoja na watendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) wamekutana katika kikao kazi kilicholenga kutafuta suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji katika jimbo la Kibamba. Akizungumza katika kikao hicho, Mbunge wa Kibamba, Mheshimiwa Angella Kairuki,…

Read More

TanTrade kuendeleza masoko na uwekezaji Katoro

Dar es Salaam. Mji wa Katoro mkoani Geita unaendelea kujijenga kama kitovu kipya cha biashara nchini, ukitambulika kwa nafasi yake ya kimkakati katika mtiririko wa bidhaa na huduma si tu kwa Tanzania, bali pia kwa kanda ya Afrika Mashariki na nchi jirani. Kadri sekta ya biashara inavyoelekeza macho yake katika miji midogo yenye fursa kubwa…

Read More

Waziri Kijaji Ampokea Braydon Bent

📍Atimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania WAZIRI  wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amempokea shabiki mashuhuri wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent ambaye ametimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania na kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo Serengeti na Mlima Kilimanjaro. Ni kama safari iliyochukua karne hivi…

Read More

Wananchi Monduli wahimizwa kuvuna maji ya mvua

Arusha. Wakazi wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha wamehimizwa kuchukua hatua za dharura kwa kuwekeza katika miundombinu ya uvunaji wa maji ya mvua ili kukabiliana na ukame unaoendelea kuathiri maisha na usalama wa chakula. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Kisioki Moitiko, wakati wa uzinduzi wa mradi wa ugawaji wa…

Read More