Mavunde akutana na kilio cha maji na eneo la maziko Mtumba
Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtumba kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameombwa kufikisha huduma ya maji ya uhakika na kuwapatia eneo la makaburi alipofanya kampeni kwenye kata ya Mtumba. Katika mkutano wa kampeni alioufanya leo Oktoba 26,2025 katika kata hiyo, wananchi wameeleza kero wanazopata ambazo wangetamani kiongozi ajaye awasaidie kuzitatua. Upungufu wa…