Admin

Mavunde akutana na kilio cha maji na eneo la maziko Mtumba

Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Mtumba kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameombwa kufikisha huduma ya maji ya uhakika na kuwapatia eneo la makaburi alipofanya kampeni kwenye kata ya Mtumba. Katika mkutano wa kampeni alioufanya leo Oktoba 26,2025 katika kata hiyo, wananchi wameeleza kero wanazopata ambazo wangetamani kiongozi ajaye awasaidie kuzitatua. Upungufu wa…

Read More

Simba baba lao, yatinga makundi Ligi ya Mabingwa

SIMBA imeweka rekodi mpya baada ya kufuzu hatua ya makundi kwa mara ya saba katika miaka minane, lakini kama taifa kukiwa na rekodi nyingine kali ya kufanikiwa kuingiza timu nne kwenye michuano ya CAF kwa mara ya kwanza. Kuanzia mwaka 2018 Simba ilianza utawala wa soka la Tanzania kwenye michuano ya CAF na leo iliweka…

Read More

Malecela: Amani yetu inathamani kubwa, tuilinde 

Same. Wakati Jumatano Watanzania wakitarajia kufanya uchaguzi mwingine wa kihistoria kuwachagua viongozi watakaoliongoza Taifa kwa kipindi kingine cha miaka mitano, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, John Malecela, amewakumbusha kulinda na kudumisha amani. Siku hiyo, Watanzania kutoka bara na visiwani watakuwa wakipiga kura kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na…

Read More

Nuru njema gofu Afrika Mashariki 

LICHA ya kushindwa kutetea taji la ubingwa wa gofu wa Afrika ya Mashariki na Kati baada ya kumaliza katika nafasi ya tatu, timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania imemuibua nyota mpya chipukizi, Shufaa Twalib, ambaye uwezo wake mkubwa unamfanya awe hazina mpya ya gofu ya wanawake nchini. Pamoja na chipukizi huyo kuibuliwa, Mtanzania Neema…

Read More

Wananchi watakiwa kulinda amani kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Wito wa kulinda amani kama nguzo ya maendeleo ya uchumi, ustawi wa familia, na mustakabali wa Taifa umetolewa kwa Watanzania huku viongozi kutoka taasisi za dini, Serikali na sekta binafsi wakisisitiza kuwa bila amani, hakuna shughuli yoyote ya kijamii au kiuchumi inayoweza kusonga mbele. Msisitizo wa amani umetolewa katika kongamano la wanawake…

Read More

Uthubutu, woga vyakwamisha vijana kupata mikopo‎

‎Mwanza.  Uthubutu mdogo wa kuomba mkopo katika taasisi za kifedha, pamoja na kutokuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali, umetajwa kuwa sababu inayowafanya vijana kushindwa kuaminika kupata mikopo na mitaji ya kuanzisha biashara zao. Kauli hiyo imetolewa jana Jumamosi, Oktoba 25, 2025 na Msajili wa Asasi na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs), Wilaya ya Ilemela…

Read More

Absa Tanzania yatoa mikopo kwa wanawake 50,000

Dar es Salaam. Benki ya Absa Tanzania kwa kushirikiana na ASA Microfinance, imeadhimisha miaka minne ya mafanikio tangu kuanzishwa kwa ushirikiano wao mwaka 2022. Ushirikiao huo umewezesha wanawake wajasiriamali 50,000 nchini kupata mikopo yenye thamani ya zaidi ya Sh40 bilioni. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Jumapili Oktoba 26,  2025 wakati wa mkutano na waandishi…

Read More

Singida Black Stars yawaachia maujanja Warundi

LICHA ya Flambeau du Centre ya Burundi kuondoshwa na Singida Black Stars katika raundi ya pili ya mtoano wa Kombe la Shirikisho Afrika, kocha wa kikosi hicho, Rukundo Jean de Dieu, amesema kuna mambo mengi wamejifunza na wanaenda kuyafanyia kazi. Rukundo amezungumza hayo baada ya timu hiyo kuchapwa mabao 3-1, katika mechi ya marudiano iliyopigwa…

Read More