Tasnia ya Filamu Yapoteza Mwigizaji Laisa, Msiba Wathibitishwa – Video
Tasnia ya Filamu Yapoteza Mwigizaji Laisa, Msiba Wathibitishwa – Video – Global Publishers Home Habari Tasnia ya Filamu Yapoteza Mwigizaji Laisa, Msiba Wathibitishwa – Video
Tasnia ya Filamu Yapoteza Mwigizaji Laisa, Msiba Wathibitishwa – Video – Global Publishers Home Habari Tasnia ya Filamu Yapoteza Mwigizaji Laisa, Msiba Wathibitishwa – Video
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa Sikukuu yenye lengo la kuwazawadia wateja wanaotumia kadi ya Popote Visa kufanya malipo, ambapo wateja watapata rejesho la asilimia 10 kwa kila muamala utakaokidhi vigezo vilivyowekwa na benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa Umma…
Waziri Mchengerwa: Jenista Mhagama Alianza Kuanguka Wakati Wa Uchaguzi – Video – Global Publishers Home Global TV Online Waziri Mchengerwa: Jenista Mhagama Alianza Kuanguka Wakati Wa Uchaguzi – Video
Dodoma. Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa ameeleza dakika za mwisho namna alivyopokea taarifa kuzidiwa na madaktari walivyopambania uhai marehemu Jenista Mhagama na mwishowe kufariki dunia. Mchengerwa ameapa kuendeleza maono, dira na miradi yote aliyoiasisi marehemu Jenista Mhagama, akisisitiza kuwa urithi aliouacha ndani ya wizara hiyo hautapotea bali utaendelezwa kwa nguvu mpya. Mchengerwa aeleza dakika za…
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga,akizungumza wakati akizindua Bodi mpya ya Wakurugenzi wa WRRB) hafla iliyofanyika leo Disemba 12,2025 jijini Dodoma. ……. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amesema Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeleta mageuzi makubwa katika Biashara ya mazao nchini katika kipindi cha…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 12 Desemba 2025, amepokea tuzo ya kuwa Kivutio Bora cha Mikutano ya Kimkakati Barani Afrika (African’s Best Corporate Retreat Destination 2025). Tuzo hiyo imetolewa baada ya Zanzibar kushinda katika Tuzo za Utalii Duniani (World Travel Awards 2025) zilizofanyika nchini…
Lusaka, Zambia Taasisi za Wakala wa Vipimo kutoka nchini Tanzania (WMA) na Zambia (ZMA)zimesaini rasmi Mkataba wa kushirikiana katika usimamizi wa matumizi sahihi ya vipimo. Mkataba huo ni wa muda wa miaka mitatu (3) ambapo utekelezaji wake umeanza mara tu baada ya kusainiwa. Kusainiwa kwa Mkataba huo ni sehemu ya maono ya Viongozi wakuu wa…
Moshi. Ikiwa zimesalia siku 19 kabla ya kuingia mwaka 2026, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro imejipanga kukusanya zaidi ya Sh32 bilioni kwa kipindi cha Desemba 2025 ili kufikia lengo la mapato ya mwaka huu. Hayo yamesemwa leo Desemba 12, 2025 na Meneja wa TRA Mkoa wa Kilimanjaro, James Jilala wakati akizungumza na…
KIUNGO mshambuliaji wa Stand United ya Shinyanga, Raymond Masota amelibebesha mzigo Shirikisho la Soka nchini (TFF) kukomalia programu za kuandaa wachezaji chipukizi (TDS) ili kusaidia kutibu changamoto ya muda mrefu ya Tanzania kukosa washambuliaji wenye sifa. Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la washambuliaji matata wenye uwezo mkubwa wa kutumia nafasi, ambapo mara…
Dar es Salaam. Serikali imesema usaili wa ajira mpya 12,000 za afya na ualimu, utaanza rasmi kesho Jumamosi Desemba 13,2025 katika mikoa ya Tanzania bara na vituo mahususi vya Unguja na Pemba. Sambamba na hilo, Serikali imeeleza kuwa hadi kufikia Januari 2026, mchakato huo utakuwa umekamilika na kila aliyefaulu kwenye mchujo atapangiwa kituo chake cha…