Admin

VIDEO: Mchengerwa aeleza dakika za mwisho kabla ya kifo cha Jenista

Dodoma. Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa ameeleza dakika za mwisho namna alivyopokea taarifa kuzidiwa na madaktari walivyopambania uhai marehemu Jenista Mhagama na mwishowe kufariki dunia.                                                                                    Mchengerwa ameapa kuendeleza maono, dira na miradi yote aliyoiasisi marehemu Jenista Mhagama, akisisitiza kuwa urithi aliouacha ndani ya wizara hiyo hautapotea bali utaendelezwa kwa nguvu mpya. Mchengerwa aeleza dakika za…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi Akabidhiwa Rasmi Tuzo ya “African’s Best Corporate Retreat Destination 2025”

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 12 Desemba 2025, amepokea tuzo ya kuwa Kivutio Bora cha Mikutano ya Kimkakati Barani Afrika (African’s Best Corporate Retreat Destination 2025). Tuzo hiyo imetolewa baada ya Zanzibar kushinda katika Tuzo za Utalii Duniani (World Travel Awards 2025) zilizofanyika nchini…

Read More

TRA Kilimanjaro kukusanya Sh32 bilioni Desemba pekee

Moshi. Ikiwa zimesalia siku 19 kabla ya kuingia mwaka 2026, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kilimanjaro imejipanga kukusanya zaidi ya Sh32 bilioni kwa kipindi cha Desemba 2025 ili kufikia lengo la mapato ya mwaka huu. Hayo yamesemwa leo Desemba 12, 2025 na Meneja wa TRA Mkoa wa Kilimanjaro, James Jilala wakati akizungumza na…

Read More

Winga Stand Utd aibebesha zigo TFF

KIUNGO mshambuliaji wa Stand United ya Shinyanga, Raymond Masota amelibebesha mzigo Shirikisho la Soka nchini (TFF) kukomalia programu za kuandaa wachezaji chipukizi (TDS) ili kusaidia kutibu changamoto ya muda mrefu ya Tanzania kukosa washambuliaji wenye sifa. Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa ikikabiliwa na tatizo la washambuliaji matata wenye uwezo mkubwa wa kutumia nafasi, ambapo mara…

Read More

Usaili ajira 12,000 za afya, ualimu kufanyika Desemba 13

Dar es Salaam. Serikali imesema usaili wa ajira mpya 12,000 za afya na ualimu, utaanza rasmi kesho Jumamosi Desemba 13,2025 katika mikoa ya Tanzania bara na vituo mahususi vya Unguja na Pemba. Sambamba na hilo, Serikali imeeleza kuwa hadi kufikia Januari 2026, mchakato huo utakuwa umekamilika na kila aliyefaulu kwenye mchujo atapangiwa kituo chake cha…

Read More