Admin

Hersi afafanua ukweli ulivyo madai ya kuishambulia Simba

BAADHI ya mashabiki wa Simba wanalia juu ya uwasilishaji uliofanywa na Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Chama cha Klabu za Soka Afrika (ACA), Injinia Hersi Said kwenye kongamano la soka lililoandaliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu la  Kimataifa (FIFA) wakidai bosi huyo aliwamaliza, lakini mwenyewe ametoa ufafanuzi. Akizungumza na Mwanaspoti akiwa Qatar kulikofanyika…

Read More

Beki achomolewa mapema kikosini Yanga

MIGUEL Gamondi yupo Misri kwa sasa akikinoa kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinachojiandaa na fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, lakini huku nyuma jamaa ametoa maagizo kwa mabosi wa Singida Black Stars anayoinoa kuchomoa mtu pale Yanga. Taarifa kutoka Singida zinasema kuwa, mabosi wa klabu…

Read More

DPP amfutia kesi ya uhaini Irene na kumwachia huru

Dar es salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi na kumuachia huru, mshtakiwa Irene Mabeche (58) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya Uhaini, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yake.‎ ‎Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Hassan Makube, baada ya wakili wa…

Read More

Waliopata maafa ya mvua Kahama kupatiwa misaada ya kibinadamu

Shinyanga. Kufuatia nyumba zaidi ya 200 ikiwemo zahanati ya kijiji cha Mwanase Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kubomolewa na mvua usiku wa kuamkia Desemba 13,2025, Serikali mkoani humo imeielekeza Halmashauri ya Msalala kufikisha mara moja misaada ya kibinadamu katika eneo hilo. Mvua hizo zilisababisha kuezuliwa kwa mapaa katika nyumba 127 huku nyumba 80 zikibomoka kabisa…

Read More

Hospitali ya Selian Arusha kusimamiwa na JKCI

Arusha. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeingia makubaliano ya uendeshaji wa hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC) kwa kipindi cha miaka 20 ijayo, hatua itakayoimarisha huduma za matibabu ya kibingwa ya magonjwa ya moyo katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo,Jumanne Desemba 16,2025 Mkurugenzi Mtendaji…

Read More

Kitambala atabiriwa makubwa Azam FC

BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban amesema baada ya mshambuliaji wa Azam, Jephte Kitambala kuifunga Simba, timu zingine zinatakiwa zijipange kumzuia, kwani atafunga sana. Kitambala alisajiliwa na Azam msimu huu akitokea AS Maniema Union ambayo ilimchukua akitokea TP Mazembe, huku Desemba 7 mwaka huu akifunga bao moja wakati Azam ikiichapa Simba 2-0 katika mechi…

Read More

NGO zahimizwa kujenga misingi imara ya uongozi

Dodoma. Watanzania wametakiwa kujenga utamaduni wa uwazi na uwajibikaji na kubaini makosa kabla hayajawa makubwa, pia viongozi wameelekezwa kuacha alama kwa maeneo ama taasisi wanazokabidhiwa kuziongoza. Wito huo umetolewa leo Jumanne Desemba 16, 2025 na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Wakurugenzi Tanzania (IoDT) Said Kambi wakati wa kusaini mkataba wa makubaliano ya kuwajengea uwezo viongozi…

Read More

MBUNGE LIWAKA AWAHAKIKISHIA MAMALISHE KUTATULIWA CHANGAMOTO ZA MAJI, MASOKO NA MIKOPO

Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka,akisonga ugali kwenye moja ya masoko ambayo mama nitilie wanaojihusisha na uuzaji wa vyakula. Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka, amewahakikishia mama lishe wa jimbo hilo kuwa atashughulikia changamoto zinazowakabili zikiwemo upatikanaji wa maji safi, usafi wa masoko, mikopo kwa wajasiriamali wadogo pamoja na maboresho ya miundombinu ya…

Read More