TANESCO YAOKOA UPOTEVU WA MAPATO WA SHILINGI BILIONI 1.7 KUPITIA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA NCHINI
*Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu. *Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa kutumia vishoka baada ya kusitishiwa huduma Na. Agnes Njaala, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanikiwa kuokoa upotevu wa mapato unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 1.7, kufuatia utekelezaji wa zoezi la ukaguzi wa miundombinu…