Admin

TANESCO YAOKOA UPOTEVU WA MAPATO WA SHILINGI BILIONI 1.7 KUPITIA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA NCHINI

*Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu. *Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa kutumia vishoka baada ya kusitishiwa huduma Na. Agnes Njaala, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limefanikiwa kuokoa upotevu wa mapato unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 1.7, kufuatia utekelezaji wa zoezi la ukaguzi wa miundombinu…

Read More

MBAWE JOGGING CLUB YAHAMASISHA USHIRIKI WA KURA NA AMANI

:::::::::: Na Mwandishi Wetu Mbawe Mji Mpya Jogging Club imefanya matembezi ya jogging jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza asubuhi hii mara baada ya kumaliza matembezi hayo, Mwanzilishi na Mweka Hazina wa klabu hiyo, Bi…

Read More

Mambo 4 vita ya Curry, Gordon NBA

SAN FRANCISCO, MAREKANI : TIMU za Golden State Warriors na Denver Nuggets zilianza msimu huu zikiwa na lengo moja tu kurejea kwenye fainali za NBA na kuzuia utawala wa Oklahoma City Thunder katika ukanda wa Magharibi. Wababe hao ambao walitwaa ubingwa wa NBA (Warriors 2022 na Nuggets 2023), walichuana majuzi katika mchezo wa kusisimua kiasi…

Read More

Unayopaswa kufahamu kuhusu asili ya makalio makubwa

Dar es Salaam. Kwa baadhi ya wanawake, urembo ni pamoja na kuwa na makalio makubwa, hali ambayo imekuwa kama kipimo kipya cha mvuto wa mwili. Wapo wanaoamini kuwa umbo hilo linavutia zaidi na kuongeza kujiamini, hasa katika zama hizi ambazo mitandao ya kijamii imetawala taswira ya urembo. Ni kutokana na hilo, wapo waliofikia hatua ya…

Read More

Matola, Kapombe waitangazia vita Nsingizini Hotspurs 

KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola na nahodha wa timu hiyo, Shomari Kapombe, wametamba kuendelea kufanya vizuri katika mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya Nsingizini Hotspurs. Mechi hiyo ya marudiano itakayopigwa kesho Jumapili Oktoba 26, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Simba inaingia ikiwa na…

Read More

Kocha Nsingizini ajipa matumaini kupindua meza kwa Mkapa

KOCHA Mkuu wa Nsingizini Hotspurs, Mandla Qhogi, amesema licha ya kikosi hicho kupoteza kwa mabao 3-0, dhidi ya Simba katika mechi ya mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, ila wana nafasi ya kurekebisha kasoro zilizojitokeza. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mandla, amesema anatambua ugumu uliopo wa kushinda ugenini kwa zaidi ya mabao…

Read More