Hausiboi’ Kortini Akituhumiwa Kwa Shambulio La Aibu Kwa Mtoto – Global Publishers
Last updated Sep 23, 2025 Mkazi wa Nyakato ambaye ni Mfanyakazi wa ndani (Hauseboy), Fred Kelendo Marekioli (19), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumfanyia shambulio la aibu mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 5 (jina limehifadhiwa kwa sababu za kisheria). Akisoma hati ya…