BASATA YAZINDUA RASMI TUZO ZA TMA
BARAZA La Sanaa (BASATA) lafungua rasmi dirisha la Kupendekeza Kazi za Wasanii katika tuzo za Muziki nchini TMA zinazotarajiwa kufanyika Disemba mwaka huu. Akizungumza na Wanahabari Leo Oktoba 24,2025 Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) Dkt.Kedmon Mapana amesema dirisha la Kupendekeza kazi za Sanaa tayari limefunguliwa hivyo Wasanii wachangamkie fursa hiyo. “Msimu wa…