Wawekezaji watakiwa kukata bima kulinda miradi mikubwa ya Tanga
Tanga. Wawekezaji wametakiwa kuona umuhimu wa kujiunga na huduma za bima ikiwa ni jitihada za kuhakikisha miradi mikubwa ya kimkakati inalindwa dhidi ya majanga na hasara zisizotarajiwa. Wito huo umetolewa Ijumaa, Machi 13, 2026 na Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Dadi Kolimba, alipokuwa mgeni rasmi katika hafla fupi ya futari iliyoandaliwa na NIC kwa wadau…