MBUNGE LIWAKA AWAHAKIKISHIA MAMALISHE KUTATULIWA CHANGAMOTO ZA MAJI, MASOKO NA MIKOPO
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka,akisonga ugali kwenye moja ya masoko ambayo mama nitilie wanaojihusisha na uuzaji wa vyakula. Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka, amewahakikishia mama lishe wa jimbo hilo kuwa atashughulikia changamoto zinazowakabili zikiwemo upatikanaji wa maji safi, usafi wa masoko, mikopo kwa wajasiriamali wadogo pamoja na maboresho ya miundombinu ya…