Admin

Sh3 bilioni zatengwa kuboresha miundombinu ya elimu Mbarali

Mbarali. Kwa miaka mingi baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari katika Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya wamekuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu kila siku kufuata masomo, hali inayochosha na wakati mwingine kuwakatisha tamaa ya kuendelea na shule. Hata hivyo, hali hiyo huenda ikawa historia baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali kutenga zaidi ya…

Read More

Meneja wa Global Azungumzia Umuhimu wa Kuishi Kwa Maadili Baada ya Kifo cha Ssebo – Video

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho leo Machi 14, 2026 amesema kuwa kifo ni fumbo na kila mwanadamu anapaswa kujiandaa nacho kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kukikwepa. Mrisho ameyasema hayo kufuatia kumalizika kwa ibada ya kumuombea aliyekuwa mfanyabiashara maarufu Ssebo, iliyofanyika…

Read More

Staa wa zamani wa Bongo Fleva asimikwa kuwa mchungaji

Dodoma. Miaka kadhaa iliyopita jina la Ainea lilisikika sana kwenye anga la muziki wa Bongo Fleva, akitamba na vibao vilivyotikisa redio na majukwaa ya burudani. Lakini leo, sauti hiyo iliyowahi kuwaburudisha mashabiki imegeuka kuwa chombo cha kuhubiri neno la Mungu. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Kedmon Ainea maarufu kama Ainea, sasa ameanza rasmi maisha mapya ya…

Read More

Profesa Mahalu aagwa Dar, wanazuoni wasema…

Dar es Salaam. Mwili wa mwanadiplomasia na mwanazuoni nguli, Profesa Costa Mahalu umeagwa jijini Dar es Salaam, huku wanazuoni na wanasiasa wakimtaja kuwa miongoni mwa viongozi waliopenda kuibua vipaji na kuendeleza vijana waliokuwa vyuoni. Mbali na hilo, wamesema Profesa Mahalu ambaye alikuwa Makamu mkuu wa Chuo Kikuu cha Mt Augustine (Saut) alikuwa mhamasishaji mnyenyekevu, mpenda…

Read More

Wauza video za tamthilia, filamu walia na tozo, Serikali yaingilia kati

Mbeya. Wasambazaji na wauzaji wa movies, Muziki na Filamu jijini Mbeya wamelalamikia baadhi ya mawakala wanaopita kukusanya fedha kinyume na utaratibu, wakiomba serikali kuingilia kati ili kunusuru vibarua na usalama wao katika shughuli zao. Imeleezwa kuwa mawakala hao hujitambulisha kutoka Umoja wa wasambazaji Movies ‘Films Distributers’, ambapo hupita kila kibanda kukusanya Sh10,000 kwa kila wiki,…

Read More

Faida nane cha kituo cha kuwanoa wajasiriamali

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametaja faida nane zitakazopatikana kupitia kituo kipya cha pamoja cha kuwezesha manunuzi na mauzo ya nje, akisema kitawarahisishia wajasiriamali kupata mitaji na teknolojia za kisasa za uzalishaji. Amesema matokeo chanya ya kituo hicho yanatarajiwa kuanza kuonekana mwaka 2030, ambapo programu…

Read More