Admin

Samia atajwa mwelekeo Dira 2050 na ubia sekta binafsi

Dar es Salaam. Rais, Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa Dira ya 2050, ikielezwa kuwa ni ya kitaifa huku wito ukitolewa wa kuhakikisha uhusiano baina ya serikali na sekta binafsi unaimarishwa zaidi ili kujenga uchumi jumuishi. Pongezi na wito huo umetolewa kama sehemu ya maazimio ya Kongamano la Uchumi Jumuishi lililoandaliwa na Kigoda cha Mwalimu Nyerere…

Read More

Majaliwa kufungua maonyesho ya madini Geita

Geita. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kesho Septemba 22, 2025 anatarajiwa kufungua maonyesho ya nane ya teknolojia ya madini mkoani Geita, yanayokutanisha washiriki zaidi ya 1,300 kutoka ndani na nje ya nchi zikiwamo China, Korea, Namibia, Kenya na Uganda. Maonyesho hayo yalianza Septemba 18, 2025 yanatarajiwa kufungwa Septemba 28, huku idadi ya washiriki ikiwa zaidi ya…

Read More

Serikali itaendelea kuboresha mitalaa sekta ya elimu- Mahundi

Rungwe.  Naibu Waziri wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali itaendelea kuboresha mitalaa ya elimu nchini ili kuwezesha vijana kujiajiri, hasa watoto wa kike. Kauli hiyo ameitoa leo Jumapili Septemba 21, 2025, alipokuwa akizungumza katika mahafali ya kidato cha nne ya Shule ya Wasichana ya Joy, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe,…

Read More

DK SAMIA AACHA TABASAMU KWA WANANCHI NYASA … AHIDI MTAMBO KUKAUSHA SAMAKI MBAMBABAY

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Ruvuma MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewapongeza  wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kwa uzalishaji mzuri wa mazao ya biashara na chakula  Ametoa pongezi hizo leo Septemba 21,2025 alipokuwa katika mkutano wa kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu akiwa Uwanja wa Mbambabay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma ambapo ameeleza hatua…

Read More

Mgombea ubunge Moshi ataja vipaumbele vyake

Moshi. Mgombea ubunge wa Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo maarufu Ibraline, amewaomba wananchi kumpa ridhaa ya kuwatumikia bungeni ili kuhakikisha hoja za maendeleo ya jimbo hilo zinapewa kipaumbele na si masilahi yake binafsi. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo Jumapili Septemba 21, 2025 katika Viwanja vya Netball Reli, Kata ya Njoro,…

Read More

DK.NCHIMBI AMPA SALAMU ZA USHINDI WA KISHINDO DK.SAMIA BAADA YA KUPITA MIKOA 11 KUOMBA KURA KWA WANANCHI

*Ampongeza kwa uwezo wake wa kutafuta na kusimamia vizuri mgawanyo wa rasilimali fedha  *Asema heshima ya kumfanya kuwa msaidizi wake ni heshima ya wana Ruvuma wote. Na Said Mwishehe,Michuzi TV MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari amefanya mikutano ya kampeni wananchi wameshasema…

Read More

NMB yatoa fursa ya mkopo hadi Sh500 bilioni kwa mteja mmoja

Dar es Salaam. Benki ya NMB imesema ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh500 bilioni kwa ajili ya kuendeleza shughuli za biashara na uzalishaji ikiwamo kilimo, mifugo, viwanda na madini, kutokana na ukuaji wa mtaji wake. Mikopo hiyo inalenga kuwasaidia wateja kuongeza uzalishaji na hutolewa kupitia suluhu mbalimbali za kifedha kulingana na mahitaji…

Read More