Admin

Yanga yapeleka jambo lao ushuani

YANGA inaendelea kupiga hesabu za kuanza kwa gia ipi msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kitu mabosi wamekifanya kutimiza malengo kwa kuwaita wanachama wa klabu hiyo eneo la ushuani lililopo Masaki, Dar es Salaam ili kujadili kwa kina mikakati yao Pale, Jangwani bado mashabiki wanatembea na kumbukumbu ya kubeba makombe yote msimu ulio-pita hapa nchini,…

Read More

Mechi za mtego Kagame hizi hapa

MICHUANO ya Kombe la Kagame inatarajiwa kuendelea tena kesho, Jumapili, kwa mechi mbili kupigwa ambapo Madani itakabiliana na Al-Hilal Omdurman huku Mogadishu City ikipambana na Kator katika mechi zinazotarajiwa kuamua mwelekeo wa kundi C. Katika mechi zao za kwanza katika mashindano hayo yanayohusisha klabu za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati hakuna timu iliyoibuka na…

Read More

Siri ya ndoa kudumu iko hapa

Dar es Salaam. Ndoa na uhusiano wa kimapenzi ni safari ya maisha yenye changamoto, mafanikio na mafunzo. Ili ndoa au uhusiano udumu, kuna mambo ya msingi yanayopaswa kuzingatiwa na wanandoa au wapenzi, ambayo makala haya itayaangazia. Mojawapo ya mambo hayo ni mawasiliano. Haya ni moyo wa uhusiano wowote. Wanandoa au wapenzi wanapaswa kuwa na uwezo…

Read More

Watoto ni tunu, tuwaenzi, tuwalinde na kuwatunza

Dar es Salaam. Watoto ni zawadi ya kipekee kutoka kwa Mungu na ni hazina ya jamii yoyote ile. Ndani yao kuna ndoto, matumaini na mustakabali wa kizazi kijacho. Watoto wanapozaliwa, huja na mioyo isiyo na chuki, malengo ya maisha ambayo bado hayajachafuka na uwezo mkubwa wa kujifunza na kuleta mabadiliko. Kwa msingi huo, ni wajibu…

Read More

PROF. KITILA ATAJA SABABU ZA WATANZANIA KUMCHAGUA DK. SAMIA

::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Prof. Kitila Alexander Mkumbo amesema watanzania wanayo kila sababu ya kumchagua mgombea Urais anayetokana na CCM Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa alizofanya katika awamu yake ya kwanza ikiwemo kuwahakikishia watanzania Amani, Usalama na Utulivu. Akizindua kampeni katika…

Read More

DKT. SERERA AVUTIWA NA USHIRIKI WA NEMC KWENYE MAONESHO YA IATF

Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa namna ambavyo linatoa elimu kwa wadau mbalimbali wakiwemo wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika yanayotambulika kama Intra African Trade Fair (IATF) yanayoendelea jijini Algiers nchini…

Read More

Nafasi ya watoto katika kukuza uchumi wa familia

Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…

Read More