
Yanga yapeleka jambo lao ushuani
YANGA inaendelea kupiga hesabu za kuanza kwa gia ipi msimu mpya wa mashindano, lakini kuna kitu mabosi wamekifanya kutimiza malengo kwa kuwaita wanachama wa klabu hiyo eneo la ushuani lililopo Masaki, Dar es Salaam ili kujadili kwa kina mikakati yao Pale, Jangwani bado mashabiki wanatembea na kumbukumbu ya kubeba makombe yote msimu ulio-pita hapa nchini,…