Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 25, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Last updated Oct 24, 2025 Mtanange wa kutosha upo kwenye mechi za Ijumaa ya leo ambapo West Ham, Sevilla, Paris na wengine kibao wakiwa dimbani kusakata kabumbu kwaajili ya pointi 3 za maana kabisa. Unangoja nini kupiga pesa leo? SERIE A kule Italia nako itaendelea ambapo vijana wa Allegri AC Milan watakuwa San Siro…
Bwana Guterres alikuwa akihutubia mabalozi katika chumba cha iconic huko New York On Siku ya Umoja wa Mataifakuashiria miaka 80 tangu kuanzishwa kwake. Aliongea kupitia kiunga cha video kutoka mji mkuu wa Viet Nam, Hanoi, wakati wa mjadala wazi juu ya jinsi UN inapitia siku zijazo zisizo na shaka. Kama kikundi cha msingi cha UN…
Time2graze itatumia data ya satelaiti ya Sentinel-2 kufuatilia malisho ya malisho na kusaidia wakulima na wasimamizi wa ardhi kufanya maamuzi sahihi juu ya usimamizi wa malisho, ugawaji wa rasilimali, na matumizi endelevu ya ardhi. Maoni na Lindsey Sloat (Lancaster, PA) Ijumaa, Oktoba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LANCASTER, PA, Oktoba 24 (IPS) –…
Mkuu wa Mkoa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, akizungumza na wananchi wa Maisaka kuhusu malipo ya fidia ya maeneo yao yaliyotwaliwa kwa matumizi ya huduma za kijamii. Mhe. Queen Sendiga, Mkuu wa Mkoa Manyara, akitoa ufafanuzi kwa wananchi kuhusiana na utekelezaji wa malipo ya fidia kwa kaya za Maisaka. Na Mwandishi Wetu. BABATI, MANYARA –…
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Abdallah Ulega, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuendelea kuiamini na kuichagua CCM katika uchaguzi mkuu ujao ili kuimarisha maendeleo yaliyokwisha kuanza chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Ulega ameyasema hayo leo wakati akihutubia mamia…
:::::: Timu ya Taifa ya ngumi ya Tanzania maarufu kama Faru Weusi imepata medali 17 katika mashindano ya ngumi barani Afrika. Medali hizo ambazo Tanzania imefanikiwa kuzipata ni moja ya dhahabu, medali za fedha nne na za shaba 12. Pia Tanzania imeshika nafasi ya nne katika mashindano hayo ambayo yamefanyika jijini Nairobi nchini Kenya katika…
Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034, kampuni ya Smartpika kupitia Mradi wa Huduma za Kisasa za Upikaji (MECS) imegawa majiko sanifu ya umeme katika Shule ya Msingi Kibasila jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kufikia nyumba milioni…
SanlamAllianz imezindua rasmi chapa yake mpya nchini Tanzania, hatua kubwa inayodhihirisha dhamira ya Kampuni hiyo katika kupanua upatikanaji wa huduma za kifedha nchini. Uzinduzi huu unafuatia muunganiko uliofanyika mwaka 2023 kati ya makampuni mawili makubwa ya kimataifa kmatika sekta ya Bima, Sanlam na Allianz ambapo umeunda kampuni kubwa zaidi barani Afrika inayotoa huduma za kifedha…