UBIA WA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI WATAMBULISHWA KAMA INJINI YA UTEKELEZAJI WA DIRA 2050
WADAU wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa huku wakitaja kuwa kilimo bado ni sekta dhaifu kutokana na utegemezi wa mvua na ukosefu wa viwanda vya zana za kilimo na kushauri kuongezwa uwekezaji katika umwagiliaji, miundombinu ya uchumi…