Admin

Faida nane cha kituo cha kuwanoa wajasiriamali

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, ametaja faida nane zitakazopatikana kupitia kituo kipya cha pamoja cha kuwezesha manunuzi na mauzo ya nje, akisema kitawarahisishia wajasiriamali kupata mitaji na teknolojia za kisasa za uzalishaji. Amesema matokeo chanya ya kituo hicho yanatarajiwa kuanza kuonekana mwaka 2030, ambapo programu…

Read More

Chaumma yaingia TCD na matarajio makubwa

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimedhamiria kutumia uanachama wake wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika kukuza demokrasia nchini. Hayo yamebainishwa  Machi 13, 2025 jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Chaumma, Salum Mwalimu wakati wa Iftar iliyoandaliwa na TCD, ikiwashirikisha wadau tofauti wa demokrasia vikiwamo vyama vya siasa. Akizungumza…

Read More

MEELA AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUKEMEA SWALA LA WIZI.

MOSHI.  Wimbi la wizi, hasa wa mita za maji, limeendelea kuwa changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, hali inayozua wasiwasi kwa wananchi na viongozi wa jamii. Kutokana na hali hiyo, viongozi wa dini wametakiwa kutumia nafasi zao kuzungumzia na kukemea vitendo hivyo pamoja na kuwaombea vijana wanaojihusisha na uhalifu…

Read More

Mwezi mmoja freshi kwa Kocha JKT Tanzania

KOCHA wa maafande wa JKT Tanzania, Ahmad Ally, amesema licha ya timu hiyo kukaa kwa zaidi ya mwezi mmoja bila ya kucheza mechi za kiushindani, ila haitaathiri programu mbalimbali za kikosi hicho, kutokana na mipango mikakati waliyoiweka. Timu hiyo tangu mara ya mwisho ilipocheza na Yanga na kuchapwa mabao 5-0, Februari 25, 2026, haina mechi…

Read More

Vinara Ligi Daraja la Kwanza Unguja raha tu

VINARA wa Ligi Daraja la kwanza Kanda ya Unguja, Black Sailors, wamesema msimamo umekuwa hamasa nzuri ya kuanza mazoezi kwa ari zaidi. Kauli hiyo imetolewa na Kocha Msaidizi, Said Mwinyi akisema amefurahishwa na namna wachezaji walivyoanza mazoezi kwa ari kubwa. Black Sailor inaongoza ligi hiyo kwa pointi 53 ilizovuna katika mechi 20 na kubakisha mechi…

Read More

Laizer afichua faili la Mnigeria, Obasi

LICHA ya kiwango bora kinachoonyeshwa na mshambuliaji nyota wa Fountain Gate, Mnigeria Chukwunonye Obasi, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema kutomchezesha dakika nyingi ni kutokana na sababu mbalimbali za kimsingi. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer amesema kutokana na ufinyu wa wachezaji wengi kikosini humo baada ya kufungiwa timu hiyo kutosajili, inamlazimu kuweka…

Read More

MUFTI AWATAKA WATUMISHI WA TRA KUZINGATIA UADILIFU KAZINI

             ***** Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari bin Zubeir, amewataka watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuendelea kuzingatia uaminifu, uadilifu na weledi wanapotekeleza majukumu yao ili kulinda maslahi ya taifa. Akizungumza katika iftari maalum iliyoandaliwa na Kamishna Mkuu wa TRA jijini Dar es Salaam, Mufti Zubeir aliwapongeza viongozi…

Read More

Kocha Yanga aishika pabaya FAF

KOCHA wa Yanga, Mreno Pedro Goncalves inadaiwa anataka kulipeleka Shirikisho la Soka la Angola (FAF) katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kwa kile kinachodaiwa bado linamtambua ni mkufunzi kimkataba, licha ya kuondoka. Taarifa kutoka Angola zinadai FAF, bado linamchukulia Pedro kama kocha mkuu wa timu hiyo ya taifa, huku baadhi ya masharti muhimu yanayohusu…

Read More

Kuvimba kwa lami, mikunjo barabara ya Mandela yaleta hofu, wataalamu waonya

Dar es Salaam. Magari ya mizigo, mabasi ya abiria, daladala na magari binafsi yanaendelea kupishana kwa kasi katika Barabara ya Mandela, mojawapo ya barabara muhimu inayounganisha maeneo mbalimbali ya jiji ikitokea bandarini. Lakini, kadiri magari yanavyokaribia kipande kabla ya kuzifikia taa za barabarani zilizo chini ya daraja la Mfugale lililopo eneo la Tazara inawalazimu madereva…

Read More

Mmoja afariki kwa kusombwa na maji akivua, mvua ikiacha kilio

Dar/mikoani. Mtu mmoja amefariki dunia ka kusombwa na maji kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi. Huku katika baadhi ya maeneo shughuli zikisimama kufuatia mvua hizo. Usiku wa kuamkia jana ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na ngurumo za radi ilisababisha kuharibu barabara na kuwakwamisha wananchi katika shughuli zao za kila siku. Katibu wa Mbunge…

Read More