Mlinzi auwawa, mmoja ashikiliwa kwa mahojiano Shinyanga
Shinyanga. Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Juma Mpuya (45) mkazi wa Ngokolo aliyekuwa akifanya kazi ya ulinzi katika Kampuni ya Shilo amekutwa ameuwawa usiku wa kuamkia leo Septemba 17, 2025 na watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi kwa kupigwa na kitu kizito usoni. Akizungumza na Mwananchi leo Septemba 17, 2025 Mwenyekiti wa Mtaa wa Majengo…