Fadlu anadaiwa makombe Simba | Mwanaspoti
“SIMBA msimu uliopita tulitengeneza msingi lakini msimu huu ni wa kushinda makombe, dirisha la usajili limeshafungwa, nawaamini sana wachezaji wangu wote na nimefurahishwa na kikosi changu. Kama kocha nitapambana na kikosi hiki kutengeneza timu yenye ushindani msimu huu.” Hayo ni maneno ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadluraghman “Fadlu” Davids aliyoyasema mbele ya waandishi wa habari,…