Makunduchi Wamkaribisha Dk. Samia Kwa Kishindo – Global Publishers
Kutoka Makunduchi, Zanzibar safari ya maendeleo inaendelea kusonga mbele chini ya uongozi wa Rais na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan. “Safari ya maendeleo haijasimama – Zanzibar ndiyo shahidi wa mwanzo, Tanzania ndiyo shabaha ya mwisho,”wamesema baadhi ya watu waliohudhuria mkutano huo na kuahidi kutiki Oktoba kwa…